Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 854
Sio wahuni wa Benghazi, acheni kuwa walafi wa pesa za Ghadaffi...
Nchi zote zenye Ubalozi wa Libya wafanyakazi wa Ubalozi huo wakiukubali utawala wa sasa wa Wapinzani, wanabadilisha Bendera
Hii ni bendera halali ya nchi ya Libya baada ya Uhuru; Ilibadilishwa kuwa kijani baada ya Gadaffi Green Revolution.
Watanzania hatujui Uzalendo wa watu tena? it was People's Power Revolution.
hawajafata utaratibu, ikiwa ni pamoja na kuiarifu JMT
AU hawawatambui hawa 'wahun', nchi za Africa zitaridhiaje uwekaji bendera yao makwao