Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Jamani Hashy..mimi sitaki ugomvi na dada yangu Michelle!
uwe na amani Keren,mi na wewe tena......si vibaya!!!
Jamani Hashy..mimi sitaki ugomvi na dada yangu Michelle!
Mkuu umenikumbusha enzi za mnada ulipokuwa miyuji njia ya kwenda Arusha ule ndio ulikuwa mnada mkuu. Dodoma is my second home nimekaa sana hapo Dom nimesoma shule ya Uhuru kisha Shule ya Sekondari ya Dodoma karibu na bunge...........
dah! huu mchezo uandikwe "the end" tu. shossi ashauwa gemu.Daaaa klorokwini wewe nitakuimbia kesho, umesikia eeh!!
Umesikia mtoto mzuri, nitakununulia na pipi eeh!
Unapenda pipi gana Cloro wangu, pipi kijiti unapenda,
Au nikuletee chokoleti, au Aiskrimu za baresa,
Cloro mwanangu mpendwa, usikasirike eeh!!
Nisamehe mwaya, umenisamehe tayari,
Ntakuletea na baiskeli eeh, ucheze na Hashycool.
Haya mtoto mzuri, nenda kalale.
dah! huu mchezo uandikwe "the end" tu. shossi ashauwa gemu.
dah! sjui niripoti abyuzi?Aisee we SHAROBARO
unampango wa kuninyima nini?
halaf shosti anaanzisha sredi la kukutafuta. ukilejea unaondoka na keren happuch.yaani mie nishaanza kutunga shairi la kwenda twita
ODO leo ntalala kwa raha,si unajua Tanga rahaaaaa:hug:
kuna sredi moja lilikuwa linaongelea exposer,na alikuwa msapoti mkubwa sana sasa naamini atanielewa tu!
mmmmhhhhhhh:A S 13::A S 13::A S 13::hand::hand::hand:
Shosti nikikonyezwa huwa napata mhemko lol:wink2:
Klorokwin nimesikia wewe ndio RAIS WA MASHAROBAROdah! sjui niripoti abyuzi?
Odo bwana hii miziki ya wakuuuuuuuuuuuuuubwa,maana babako anaumwa magoti saa hizi nachelea......Naona umefurahi machoni kunitia
na katuni umbebandia unanikumbatia
Hizo odo sizitaki unatakanibania????
Kama si wewe nani amaenithamini
Rabbi akupe ghufan akhera na duniani
Kwa uweza wa manani muweza wa kila shani
Utaingia peponi na Mtume Al amini
Du Bw M. Hamad Shossi mnada umehamia Msalato kijijini, ulishahama pale Miyuji. Huku ndio Tanzania utaiona km unavyofahamu vile vibanda vya kina mama wa vinywaji tunakaa wote awe Chama hiki awe kile tunashea umbea wote wa Bungeni na Siasa zote bila kificho, sasa humu jamvini tunatukanana mpaka naogopa,Mkuu umenikumbusha enzi za mnada ulipokuwa miyuji njia ya kwenda Arusha ule ndio ulikuwa mnada mkuu. Dodoma is my second home nimekaa sana hapo Dom nimesoma shule ya Uhuru kisha Shule ya Sekondari ya Dodoma karibu na bunge...........
Hii keyboard yangu vipi inatoa maneno yaliyoandikwa DONT TOUCH MEeeeeerrrr shkamoo eeerrrrghh karibu eeeeerrrrghhh nilikuwa tu najaribisha kibodi.....kwani unasoma kuanzia mwanzo?
kukulilia kote huko hujanitaja jina. Lol!
Si tulikubaliana kila shairi utakalotunga jina langu litakua la kwanza jamani.,...
eeeeerrrr shkamoo eeerrrrghh karibu eeeeerrrrghhh nilikuwa tu najaribisha kibodi.....kwani unasoma kuanzia mwanzo?
Du Bw M. Hamad Shossi mnada umehamia Msalato kijijini, ulishahama pale Miyuji. Huku ndio Tanzania utaiona km unavyofahamu vile vibanda vya kina mama wa vinywaji tunakaa wote awe Chama hiki awe kile tunashea umbea wote wa Bungeni na Siasa zote bila kificho, sasa humu jamvini tunatukanana mpaka naogopa,
Mimi nipo 10th street nitakucheck facebook
Jamvini usihame panafaa ila tuichangie ili iwepo hewani jamaa yangu kuliko kwenda kwenye starehe za