Short listed candidates at TPDC

Short listed candidates at TPDC

Yale yalee kam interview za UDOM mwaka jana. Nafasi 5 hafu shortlisted mpo 100+. Ata kama competition haiwagi hivi.
Na hujui hapo wangapi wana vimemo toka kwa "wakubwa"..!!

Sisi wavumilivu Sana.
 
Na mainjinia lini? Kwwanini wasi-upload kwenye website yao kama walivyoweka kipindi tangazo limetoka?
 
Na mainjinia lini? Kwwanini wasi-upload kwenye website yao kama walivyoweka kipindi tangazo limetoka?

Mkuu. Mbona kwenye web yao yapo! Cheki upande wa kulia.

wamesema majina mengine soon yatatolewa. Sijui when.
 
shukran mkuu,sema shortlisted katika kada ya manunuz STORES OFFCA plz naomb utuwekee attachment if u dnt mind
 
ni IT field,ktambo nmesahau ila ni mambo ya computer

Jina lako lipo kaka. Abdalah Sadalla. System analysis. Congrats mkuu.

Interview tar 04 hadi 05 Nov, Msimbazi Centre-Ilala Dar.
 
Wametoa majina ya:
-Internl auditors I&II,
-Technicians (Lab technicians, water, Electrical technicians &mechanical technicians),
-System analysts,
-Research officers &
-Store officers.

Usahili unaanza tar 29-oct, then 30,31,01---06 nov. Vituo ni msimbazi centre au tpdc makao makuu.
 
shukran mkuu,sema shortlisted katika kada ya manunuz STORES OFFCA plz naomb utuwekee attachment if u dnt mind

Walivoweka kaka huwezi toa kirahisi. Mfano mm natumia cm so kuweka kipengere kimoja siwezi. Imetolewa kama Microsoft Spread Sheet.
 
mkuu naona hizi ni za internal auditor,vipoi kuhusu nafasi za PR wameshashotlist?

Hiyo ni excel mkuu majina yote yapo hapo anagali chin kuna sehem utaona wameandika nafasi zngne ukifungua yanaoneka yote
 
Hivi kuna sababu yoyote ya hawa jamaa (TPDC) kutoa majina nusu nusu?
 
Yale yalee kam interview za UDOM mwaka jana. Nafasi 5 hafu shortlisted mpo 100+. Ata kama competition haiwagi hivi.
Na hujui hapo wangapi wana vimemo toka kwa "wakubwa"..!!

Sisi wavumilivu Sana.

napenda kuuliza kwa mwenye kufahamu nafas za store officer zilikuwa ngapi? hadi nilishasahau km nliombaga huku tpdc
 
Back
Top Bottom