Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
-
- #121
doh!Mhh, mbona wajiwekea uzio jaman, saiv huku watu wameongeza ujuz, utundu na maufundi juu ya show za kihuni. Karibu ujifunze
hahahahahaRaia wa nchi ya vi-wonder.
nimesharudia nenda MMU tafuta uzi wa Nampenda Shaba Ranks huko utakufa mwenyewe kwa kichekoHongera Sana. Utarudia Tena?!
Inshaallah tutajongeaMeonaa eee skuhizi una akili wewe njoo Sea Cliff Jumamosi nikununulie Lunch na demu wako tupige stori
saa 8 mchana
KARIBUUInshaallah tutajongea
shoo za kiuni ndo nn kupakua matope au cjaelewaMimi bado naendelea kusema ukweli mpaka Yesu arudi
Sijaja huku kupendwa nina Mungu, Malaika, Yesu, Mume, Watoto na Wajukuu wanaonipenda kila siku inanitosha
Kuna zile shoo za Kihuni (hapa wanaume tu wataanza kunielewa)
Shoo za Kihuni ukipewa hizi na mwanaume wako hata uolewe mara 5 na waliokuoa wote hawajawahi kukupa shoo za Kihuni lazima tu utakumbuka mti wako wa Kwanzaa kama nyani anavyokumbuka mti wake wa Kwanzaa aliojifunzia kuruka
Waume wetu hawa wanakubali na wanapenda kuwapa wake zao shoo za Kihuni (lakini sio michezo ya kuzama mavini ) kwa sababu zifuatazo:
1. Kumlinda na kumhifadhi mkewake hata akichepuka amkumbuke mumewe
2. Kumchunguza kama mkewe alikuwa malaya au kiruka njia au mwoga (hajui-katulia)
Sasa wanapokosea akina mama na dada wenzangu ni padogo tu:
A.We ushapewa shoo ya Kihuni na mumeo au bwanako baaada ya kujikausha kuwa ni shoo mpya kwako (hata kama unaijua), unaanza kumrekebisha bwanako unamwambia sio hivi ni vile
B. Ukigombana na bwanako unaanza kumwambia ndio mana haupo vizuri kitandani kama wenzako
Me bado naendelea kusema shoo za Kihuni ndio zinalinda ndoa (uchumba) ndio zinazofanya wachumba kuingia kwenye ndoa fasta
Me na uzee huu bado narudia shoo ya 5 ya Kihuni ambayo mume wangu alinipa. .. dah ile shoo kudadeki nikiikumbuka silali na yeye anakuwa ashajipanga kunipa shoo ya mwaka 2018 me nadai shoo namba 5.. taaaamu iyo kiru ndoroooboeee
Wanaume nadhani mmenielewa naombeni muendelee kujifunza shoo za Kihuni mana ndio zinalinda ndoa
Nyie akina dada endeleeni kukosoa wadogozetu na kaka zenu na bwana zenu kuwa hawajui kuwapa shoo za Kihuni
Ni hayo tu kwa Leo
DU NGOJA NIMWITE NANIHII AKUSAIDIEshoo za kiuni ndo nn kupakua matope au cjaelewa
wamekusikia watenda dhambiYesu hawezi kukaa kwa wahuni hata siku moja maana yeye sio mhuni
hahahaha KAMASUTRACorrections:
Hizo sio sababu za sisi wanaume kupiga/kupendelea kupiga shoo za kihuni.
Sababu ni kwamba ni fantasy yetu.
Ndio maana porn inauza sana kuliko kamasutra.
EkuwemeeeeYesu hawezi kukaa kwa wahuni hata siku moja maana yeye sio mhuni
hii vocabulary ulotumia nimekubal big upUnitukane mara ngapi??? Ushaniita MUHUNI (a.k.a Angel Of Sin), japo sina cheo hicho. Well, generosity is one of my best quality, having the uncanny ability to give my opinions without expecting anything in return[emoji4]
Halafu pengine mi ni sawa na mdogo wako sijui wangapi huko katika familia (25 years of age).
huyu Muhuni Juniorhii vocabulary ulotumia nimekubal big up
doh!Mkabala na Jengo la LPF
mzima lakini dogo?karbu
Hizi shoo kwaajili ya mke ama wa kudumu...!Mimi bado naendelea kusema ukweli mpaka Yesu arudi
Sijaja huku kupendwa nina Mungu, Malaika, Yesu, Mume, Watoto na Wajukuu wanaonipenda kila siku inanitosha
Kuna zile shoo za Kihuni (hapa wanaume tu wataanza kunielewa)
Shoo za Kihuni ukipewa hizi na mwanaume wako hata uolewe mara 5 na waliokuoa wote hawajawahi kukupa shoo za Kihuni lazima tu utakumbuka mti wako wa Kwanzaa kama nyani anavyokumbuka mti wake wa Kwanzaa aliojifunzia kuruka
Waume wetu hawa wanakubali na wanapenda kuwapa wake zao shoo za Kihuni (lakini sio michezo ya kuzama mavini ) kwa sababu zifuatazo:
1. Kumlinda na kumhifadhi mkewake hata akichepuka amkumbuke mumewe
2. Kumchunguza kama mkewe alikuwa malaya au kiruka njia au mwoga (hajui-katulia)
Sasa wanapokosea akina mama na dada wenzangu ni padogo tu:
A.We ushapewa shoo ya Kihuni na mumeo au bwanako baaada ya kujikausha kuwa ni shoo mpya kwako (hata kama unaijua), unaanza kumrekebisha bwanako unamwambia sio hivi ni vile
B. Ukigombana na bwanako unaanza kumwambia ndio mana haupo vizuri kitandani kama wenzako
Me bado naendelea kusema shoo za Kihuni ndio zinalinda ndoa (uchumba) ndio zinazofanya wachumba kuingia kwenye ndoa fasta
Me na uzee huu bado narudia shoo ya 5 ya Kihuni ambayo mume wangu alinipa. .. dah ile shoo kudadeki nikiikumbuka silali na yeye anakuwa ashajipanga kunipa shoo ya mwaka 2018 me nadai shoo namba 5.. taaaamu iyo kiru ndoroooboeee
Wanaume nadhani mmenielewa naombeni muendelee kujifunza shoo za Kihuni mana ndio zinalinda ndoa
Nyie akina dada endeleeni kukosoa wadogozetu na kaka zenu na bwana zenu kuwa hawajui kuwapa shoo za Kihuni
Ni hayo tu kwa Leo
hongeraHizi shoo kwaajili ya mke ama wa kudumu...!
Kuna nilicheza rafu ya shoo ya kibabe na ya kihuni..
Dogo kaniganda kama ruba..
Sahizi siwezi tena ikiwa tu na mpango naye kazi ntaifanya ipasavyo...
Maana lazma ni special kwa shoo za kibabe na za kihuni.. Ni hatari