Shonza Na Mkakati Wa Kuiua CCM....

Shonza Na Mkakati Wa Kuiua CCM....

Status
Not open for further replies.
Tutasikia mengi mwaka huu. But mbona RAIS alipiga picha na Diamond Platinumz huku Diamond kavaa vinguo vya kitoto hawajashangaa ndio wanashangaa rais kupiga picha na ''makamu mwenyekiti wa BAVICHA'' aliyefukuzwa???

Huo ni wivu tu wa akina Tambwe Hiza kuwabania hawa vijana wasipate posho za kuzunguka nchi nzima kuwaeleza watanzania ''maovu'' na ''ubabe' uliopo CHADEMA. After all CCM ina wanachama milioni saba inatishikaje na wanachama wawili tu?
 
Hivi huyu mdada ana nini?.

Mimi nilifikiri ni sisimizi tu ambaye unaweza kumkanyaga na kumuua bila hata kugundua kama umefanya hivyo.

Mbona watu wanatumia nguvu nyingi kutaka kumuua wakati ni sisimizi. Kwa nini msimkanyage tu.

Mnatujaza wasiwasi na usisimizi wake.
 
ukiangalia saana shoza juliana atawachanganya saana ccm mwishowe atarudi chama kubwa chadema

kurud chadema hasaau kabisa labda aende nccr. Mbaya ni kuwa ccm wana vijana barubaru ambao wamekuwa wakikibeba chama kwa mda mrefu, inakuaje gafla wawaamini hawa? Ni dhairi wajue kuwa wamempokea shonza msaliti, na km kawaida ya wasaliti nao wajiandae kusalitiwa
 
Ccm vijana wameisha/hakuna aliyekuwa timamu chadema wamewapa mtela mwampamba na juliana shonza wanawaita majembe ccm!!!!!!!!!kweli ni vigumu kujikubali kama unafirisika.
 
Tutasikia mengi mwaka huu. But mbona RAIS alipiga picha na Diamond Platinumz huku Diamond kavaa vinguo vya kitoto hawajashangaa ndio wanashangaa rais kupiga picha na ''makamu mwenyekiti wa BAVICHA'' aliyefukuzwa???

Huo ni wivu tu wa akina Tambwe Hiza kuwabania hawa vijana wasipate posho za kuzunguka nchi nzima kuwaeleza watanzania ''maovu'' na ''ubabe' uliopo CHADEMA. After all CCM ina wanachama milioni saba inatishikaje na wanachama wawili tu?

haya huko mikoani hasa kanda ya ziwa wanasubiriwa wapeleke huo ujinga wao na sjui kama watapewa support labda watu wasombwe toka vijijini na posho juu plus pilau,kwa dar wamechemka hakuna kitu yaani hamna impact yoyote zaidi cdm inazdi kupaa sana,cha maana walichoongea ni kumtukana Dr.SLAA na Mh.MBOWE pia kumuandama JJ.MNYIKA. over and over.
 
Mbona CCM ishakufa kitambo,labda kama atasaidia kuzika
 
Ukiwa mgonjwa hukatai Dawa. ndio yaliyoikuta ccm ni mahututi.
mnampa promo tuu Hana
lolote huyo binti.
Tujiulize zaidi what exeptional does this little lady has? nothing, its
only media gives her political millage.
Mwanasiasa gani anayemshambulia mtu mmoja (dr.slaa) tena kwa mambo
binafsi ambayo sio muhimu kwa watanzania.kwangu mimi hizo nisiasa za
hovyo kabisa,
 
Hivi huyu mdada ana nini?.

Mimi nilifikiri ni sisimizi tu ambaye unaweza kumkanyaga na kumuua bila hata kugundua kama umefanya hivyo.

Mbona watu wanatumia nguvu nyingi kutaka kumuua wakati ni sisimizi. Kwa nini msimkanyage tu.

Mnatujaza wasiwasi na usisimizi wake.
Sisimizi kwa CHADEMA ni Tembo kwa CCM...
 
Wajameni sasa mleta mada TAMKO mbina keshawekwa tena kifungni (banned)!!! Ila kwa hakika wamekosea njia kabisa!! Namwona na Mtela Mwampamba hapa kwa hii thread. Ila mjue tu kuwa hakuna namna ambavyo mtaweza kuponea SSM? Mmepoteza sifa kwa watazania wazalendo wa hii nchi tu. Shonza mya sister, you are too young to mess up with politics!!! Hakika UVCCM hawatakupa nafasi!! Who are you by the way? What was your contribution to SSM and UVCCM!! To them you are falilure as it did your mission to kill CDM?
 
mnampa promo tuu Hana lolote huyo binti.
Tujiulize zaidi what exeptional does this little lady has? nothing, its only media gives her political millage.
Mwanasiasa gani anayemshambulia mtu mmoja (dr.slaa) tena kwa mambo binafsi ambayo sio muhimu kwa watanzania.kwangu mimi hizo nisiasa za hovyo kabisa,

Tena kweli. Kwa kifupi ni siasa za maji Taka.
 
kwa jinsi cdm mnavyomfatilia sana huyu dada ama kweli nimeamini kuwa shonza alikuwa jembe kubwa sana kwenu na mnajutia maamuzi ila hamuwezi sema ndio maana mnamfuatilia kila anakokwenda kila anachokifanya. Jamani muacheni aendelee na kuhangaikia tumbo lake kwa kivuli cha kutetea wanyonge ambao wamekandamizwa na kiti alichokalia.
Jamani muacheni kama kapata au kakosa tuyaache kuwa yake mwenyewe wengine tuwajibike kivingine kwani ridhaa ya cdm kukubalika haitolewi na shonza bali ni wananchi.
 
ukiangalia saana SHOZA JULIANA atawachanganya saana CCM mwishowe atarudi Chama kubwa CHADEMA
kwani chadema watakuwa bado wanamuhitaji? akirudi chadema watampokea? mwishowe asipokuwa makini atakuwa kama mtu asiye kuwa na uraia.kila nchi (chama) inamkataa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom