Shonza Na Mkakati Wa Kuiua CCM....

Shonza Na Mkakati Wa Kuiua CCM....

Status
Not open for further replies.
Mpeni uenyekiti kama wengine(guninita, hiza tambwe, kabourou, shitambala, n.k.) mlivyowapa, hapo bado hamjapata 'ushankupe' wake, mnalo hilo. pia kumbukeni 'oil chafu' siyo zinazokwenda CDM tu, bali hata zinazokwenda CCM!
 
kila kukicha shonza shonza wat the hell is she in the ground of politics rather kujishebedua kwa vigogo,
 
Huyu ndiye Juliana Shonza
521519_10200612899583842_2089472450_n.jpg
 
kuna mdau alitukumbusha juu ya matumizi ya kinga ambapo kinga husika hutumika mara moja na baada ya tendo hutupwa kwa kinyaa.
 
kila kukicha shonza shonza wat the hell is she in the ground of politics rather kujishebedua kwa vigogo,

hajawai kujenga hoja hata siku moja, yeye siasa yake ni ya kumtaja Dr.Slaa kila baada ya dakika tano.
Ngoja nimtafute mama Nshonza tumpeleke uyu binti yake kwa daktari wa saikolojia ili tumsaidie.
 
Kurudi ruksa!.. Lakini hawezi kupata nafasi kubwa kama zamani.

Mkuu CHADEMA siyo chama cha kufanyia majaribio; Shonza hata akirudi anatembelea ulimi CHADEMA hatumpokei. Akisha maliza kutumiwa huko CCM nidhahiri ataelekea kwenye chama chao CHAUMWA.
 
Kwa sie tulio wataalamu wa HOW To INFILTRATE in your enemy camp, then habari kama hii hatuwezi kuiacha kuipa uzito hata kama unaweza kuipuuza!
 
Nafikiri ni watu ambao wanatishiwa nafasi zao kuchukuliwa na Shonza. Huyu binti alitoka CDM akidhani anaonewa kumbe ni kutokana na ego zake lakini hasa kwa kuwa na watu mbulula kama Mwampamba karibu. Sasa wameingia chama cha mizengwe anafikiri huko watampa promo. Ndo sarakasi hizo zimeanza.
 
Kwa sie tulio wataalamu wa HOW To INFILTRATE in your enemy camp, then habari kama hii hatuwezi kuiacha kuipa uzito hata kama unaweza kuipuuza!

vipi mkuu naona malalamiko yako ya chadema kutokufika lindi na mtwara yamekoma..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom