Shishi, achana na biashara ya Chakula

Shishi, achana na biashara ya Chakula

Dada anaipambania ridhki yake kwa njia halali, wewe kwakua una mamlaka ya kushika remote ya tv kwa shemeji Yako unaona umeyapatia maisha!!
Punguzeni zarau kwenye kazi za watu, kunasiku utaondoka apo kwa shemeji Yako panapokupa kiburi.
 
Gen Z si watu wazuri aisee. Hawa watu wamejipanga kukukwamisha tena. Dada achana na hii biashara kabisa.

NB: baadhi ya wapishi wako ni Gen Z wasije wakaweka sumu kwenye Chakula wateja tukadhurika
Wewe Kenge huo ushauri wape ukoo wako ili waondokane na umaskini. Kuhusu sumu utakamatwa wewe wa kwanza endapo itatokea imewekwa kwenye chakula. CHADEMA iwafunde wafuasi wake kuhusu siasa safi.
 
Dada anaipambania ridhki yake kwa njia halali, wewe kwakua una mamlaka ya kushika remote ya tv kwa shemeji Yako unaona umeyapatia maisha!!
Punguzeni zarau kwenye kazi za watu, kunasiku utaondoka apo kwa shemeji Yako panapokupa kiburi.
Iwapo alikuwa tayari kuimba wimbo wa amani pasipo haki na watesi wa taifa hili awe tayari kukabiliana na matokeo ya matendo hayo.Aonewe huruma kwanini?Je aliweza kuwaonea huruma Watanzania wa kawaida au aliuuimba wimbo ambao hakuuelewa kwa kurubuniwa ama kwa kudharau mahitaji ya kizalendo na mahitaji ya Mtanzania wa kawaida?
 
Wewe Kenge huo ushauri wape ukoo wako ili waondokane na umaskini. Kuhusu sumu utakamatwa wewe wa kwanza endapo itatokea imewekwa kwenye chakula. CHADEMA iwafunde wafuasi wake kuhusu siasa safi.

Makasiriko mpelekee Samia Suluhu.
 
Back
Top Bottom