nimelimiss ghafla.
mara ya mwisho nilipigia pale coco beach
je hapa dar ni sehemu gani naweza pata hii makitu - SHISHA ya ukweli?
Nyie watu hebu laleni, mnatusumbua wazee.
nimelimiss ghafla.
mara ya mwisho nilipigia pale coco beach
je hapa dar ni sehemu gani naweza pata hii makitu - SHISHA ya ukweli?
Hivi Coco Beach iko Dodoma?
Hii kitu iko maeneo mengi tu slipway,hilton double tree,city garden ( zamani railway club), mikocheni kwa nyerere panaitwa saverio etc etc.
Labda niulize swali hivi shisha inalewesha? Ina addiction?
Acha kupotosha umma. Mtu aliyezaliwa mwaka 1902 anakuwa na miaka mingapi?