Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hebu kam zis way kwanza nikunong'oneze ishu flani. Naona unaleta longolongo miiiingi!Huo ni umri wako au wa Bibi?
We si wajuzi tu hapa?
Hebu kam zis way kwanza nikunong'oneze ishu flani. Naona unaleta longolongo miiiingi!Huo ni umri wako au wa Bibi?
We si wajuzi tu hapa?
zamani.
siku hizi iko huku ushirombo.
Hebu kam zis way kwanza nikunong'oneze ishu flani. Naona unaleta longolongo miiiingi!
nimelimiss ghafla.
mara ya mwisho nilipigia pale coco beach
je hapa dar ni sehemu gani naweza pata hii makitu - SHISHA ya ukweli?
huku mabatini kuna cha tarime, hamtaki?
Shish ndugu yangu wala usipate taabu, we jitafute upate kitu kama 90 elfu then nenda kanunue la kwako na kisha baada ya hapo unakwenda kununua Flavour elfu 15 baasi.
Haina haja ya kwenda Coco Beach, Slpway, wala South Beach.
unakuwa unakula kitu roho inapenda nyumbani kwako huku unatupia hoja za msingi hapa JF.
Kwa yule alieuliza kama Shish huwa linalewesha au laa...ishu ni kuwa kulewesha ama kutokulewesha kwa Shish kunatokana na mwenyewe unavyoliandaa.
Kwa mfano mimi Shish langu napoliandaa then mtu akakurupuka kulivuta basi kama ni mtoto wa kike ntamsasambua, ntamtomasa kisha ntamfturu bila yeye kuwa na habari.
Shish langu huwa siweki Maji, bali naweka Konyagi mix sprite.
Then pale juu ambapo natakiwa kuweka Flavour basi naweka Flavour ya Double Apple mixer ugolo.
Asanteni.
Shemeji...........!
Gang Chomba,
wewe utanifaa...(kama ni wakiume usinielewe vibaya...lol)
umetoa elezo zuri mno!...mzee inaelekea uko vizuri!