Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Acha hizo mkuuDuuhh!
Yaani kandege kamoja tu kametua na kameleta dawa ya Korona with "K"
Tuutikie Ameeeen
Let's say Amen....Yajayo yanafurahisha
Wapinga kila kitu huwezi kuwaona hapa! Wanachungulia na kukimbia ndukiiii...!! Sky Eclat Mwanahabari Huru Mmawia MKWEPA KODI mnaitwa huku! Hapa Kazi Tuuuuu!!Ndege ya shirika la ndege la Uholanzi (Royal Dutch Airlines, KLM) Boeing 777 ikishusha abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) muda mchache baada ya kutua uwanjani hapo leo Agosti 4, 2020
View attachment 1527338View attachment 1527339View attachment 1527340
ππ€π½ππLet's say Amen....Yajayo yanafurahisha