Shinyanga: Mume aua mkewe na kisha kujilipua ndani ya nyumba kwa Petroli baada ya Wazazi wake kuvunja Ndoa yao

Huyu jamaa aliyejiua na kuua ni khanithi na huko anakoenda ninaamuru afirwx mara 70X70x2+800..!
Tumechoka kusikia watu wasengerema dizaini yake!!
 
Kuna wakati wazazi wetu wa kiafrika hujikuta miungu watu.

Wazazi sio kila jambo mko sahihi, kama kijana kajiheshimu kaoa, kawaletea wajukuu hebu acheni atimize kiu ya moyo wake, hii tabia ya kutaka mtoto afate hisia zenu ni kutaka kuonea onea watoto kama vile hawana haki ya kuamua.
 
Wenslausi James (30) na Betha Kasimili (25), ambao ni wakazi wa kijiji cha Busongo kata ya Mwamashele wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga, wamefariki dunia baada ya mwanaume huyo kujilipua kwa moto kwa kutumia mafuta ya Petroli, kwa madai ya wazazi wa mwanaume kumkataa mwanamke.

Kwa Mujibu wa Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga, Kamishina msaidizi wa Polisi, Jackson Mwakagonda, tukio hilo limetokea June 14 mwaka huu majira ya saa 4 asubuhi.

Mwakagonda amesema wanandoa hao walikuwa wamezaa watoto watatu, lakini wazazi wa mwanaume walimkataa mke wake, na kuamua kuuvunja mji pamoja na kurudisha mahari nyumbani kwao na mwanamke.

Aidha, amesema baada ya mji huo kuvunjika, ndipo mwanaume akasikia kuwa mke wake anataka kuolewa, na kuamua kwenda nyumbani kwa kina mwanamke akiwa na dumu la mafuta ya Petroli lita tano, na kisha kuingia chumbani kwa mwanamke na kufunga mlango na kisha kuanza kugombana.

“Mwanaume huyu alimchoma kisu cha ubavuni mke wake, na kisha kumfunga minyororo na kumwagia mafuta ya Petroli, kisha na yeye kujimwagia Petroli akawasha kiberiti na kujilipua moto, ambapo waliteketea pamoja na nyumba,” amesema Mwakagonda.

Aidha Kamanda ametoa wito kwa wazazi, kuacha kuingilia ndoa za watoto wao, pamoja na wanandoa kuacha kujichukulia sheria Mkononi, na pale penye migogoro bali watafute ufumbuzi kwa kufuata sheria.

Chanzo: Dar24
This is sad, jamaa angewafikiria watoto kabla ya kufanya maamuzi kama hayo
 
Hivi unaweza kuuana kwasababu ya wivu wa maoenzi jamani!?? Mbona watu bado ni washamba kiasi hiki!?? Kwann MTU akikushinda mbona wapo wengi tuuu!??!yan mjitu mingine sijui INA laana gani!??
 
Wenslausi James (30) na Betha Kasimili (25), ambao ni wakazi wa kijiji cha Busongo kata ya Mwamashele wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga, wamefariki dunia baada ya mwanaume huyo kujilipua kwa moto kwa kutumia mafuta ya Petroli, kwa madai ya wazazi wa mwanaume kumkataa mwanamke.

Kwa Mujibu wa Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga, Kamishina msaidizi wa Polisi, Jackson Mwakagonda, tukio hilo limetokea June 14 mwaka huu majira ya saa 4 asubuhi.

Mwakagonda amesema wanandoa hao walikuwa wamezaa watoto watatu, lakini wazazi wa mwanaume walimkataa mke wake, na kuamua kuuvunja mji pamoja na kurudisha mahari nyumbani kwao na mwanamke.

Aidha, amesema baada ya mji huo kuvunjika, ndipo mwanaume akasikia kuwa mke wake anataka kuolewa, na kuamua kwenda nyumbani kwa kina mwanamke akiwa na dumu la mafuta ya Petroli lita tano, na kisha kuingia chumbani kwa mwanamke na kufunga mlango na kisha kuanza kugombana.

“Mwanaume huyu alimchoma kisu cha ubavuni mke wake, na kisha kumfunga minyororo na kumwagia mafuta ya Petroli, kisha na yeye kujimwagia Petroli akawasha kiberiti na kujilipua moto, ambapo waliteketea pamoja na nyumba,” amesema Mwakagonda.

Aidha Kamanda ametoa wito kwa wazazi, kuacha kuingilia ndoa za watoto wao, pamoja na wanandoa kuacha kujichukulia sheria Mkononi, na pale penye migogoro bali watafute ufumbuzi kwa kufuata sheria.

Chanzo: Dar24
Feeling zinazo uma ni umejitoa kwa mtu for years umetumia kila jasho na senti kwa ajili ya huyo mtu....
Ume abandon ndoto zako kibao... Hauchepuki...kila unacho pata ni Kwa familia....umewekeza akili zote ukiamini mtakua wote forever...

Hakuona sababu ya kuendelea kuishi maana mtu akifikia point hiyo huwa ame giving up about life.....Usipo kua strong...wengi huamua ku Quite life....

RIP
 
Sasa mke ana kosa gani hadi auwawe, si amekataliwa....alitakiwa auwe waliomkataa. Pambafff zake huyo jamaa.
 
Hivi unaweza kuuana kwasababu ya wivu wa maoenzi jamani!?? Mbona watu bado ni washamba kiasi hiki!?? Kwann MTU akikushinda mbona wapo wengi tuuu!??!yan mjitu mingine sijui INA laana gani!??
Hujawahi kupewa kipapa kusawasawa wewe. Kuna wanawake wanakupa kipapa Hadi unachizika, Sasa ukifikiria Raha zile apewe mtu mwingine unachanganyikiwa. Mstaafu Fulani kutoka UK Ni shahidi na mfano mzuri.
 
Usicheze na mnato Mkuu tena uliodumu hata baada ya watoto watatu. Utawasikia wahuni, “Yule KE ana watoto watatu/wanne lakini bado ana K mnato.” Jamaa akaona kama yeye hawezi kuwa naye basi hakuna ME yoyote atakayemvua chupi tena. Wazazi hao ni washenzi sana! Mnavunja vipi ndoa ambayo kuna watoto watatu?
Watoto watatu jamaa alikuwa bado hajaridhika tu kuuachia mzigo na wengine wahangaike nao.
 
Ni baadhi tu si uliona yule katombewa humu lakini hakujilipua yeye na mkewe na walilala kitanda kimoja siku katoka kupata mshedede.
Ogopa k mnato. Hata Kama tako halipo Kama k Ni imara mtaendelea kujiuliza hivi yule kampendea mwanamke Fulani kitu gani?
 
Back
Top Bottom