Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,811
l
Huyu ndo lile jamaa lilisema serikali imetenga milioni 500 kujenga barabara nchi nzima?P. Katambi; mbunge wa Shinyanga mjini leo 18/07/2021. Alitembelea mnada ng'ombe wa old shy. Sikuona dhumuni la kuzuru hapo mnadani, zaidi ya kuwanunulia soda baadhi ya mwanachi hapo mnadani. Na huku wakimfulahia bila kujua changamoto zinazowakabili.
View attachment 1858452View attachment 1858454View attachment 1858455