Ndugu Mkwawa, hili ni tatizo kubwa la taifa zima anagalia Mgodi wa almasi mwadui, IPTL, mererani.
Kamati ilundwa na Lowassa alisema mambo yaote yatawekwa wazi kuhusiana na ugomvi ulipo kati ya wachimbai wadogo na kampuni ya akina Masha (Naibu waziri ).
Usitegemee jipya leo huko Bungeni chini ya kiranja wao current PM.
Kama Bunge halina uwezo au meno juu ya mikataba eti ni sirikali kati ya serkali na wawekezaji je ni kwa nini Bajeti ya hiyo wizara isiptishewa na wawekezaji na serikali?
Mimi Mandela niliwaambia wawekezaji toka SA waje kuwekeza kwa lengo la manufaa kwa pande mbili na hasa kwa wanachi na siyo kikundi cha viongozi wenu waliokuwa na tamaa na utajiri! wa kulaumiwa siyo wawekezaji bali walaumuni viongozi wenu ambao wameweka mbele maslahi yao binafsi.
hii ni apartheid nyingine juu ya maslahi ya taifa yanayotokana na mali asili zenu!
Wala hamhitaji akina mandela wengi bali mmoja tu atakayeamua kusema ukweli na kutakataa haya maoni hata kama atawekwa ndani kwa miaka 27 kama mimi.
Lakini hatimaye apartheid iliisha.