Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu Kuna session ya CAT Huko Shinyanga, ni revision dhidi ya order ya mahakama kuu ya MATUMA J.
Shahidi ambae ni afisa ardhi alipata summons tatu hakuja Mahakamani ikatolewa ya nne kwa jina lake hakuja kwa sababu alipangiwa jukumu na mkuu wa idara.
Ikatoka nyingine akaja akasema yeye sio mkuu wa idara na hawezi kutoa ushahidi kwa mujibu wa sheria hadi mkuu wake wa idara aje
Jaji akasema kwa kuwa hamji mkiitwa utatokea gerezani, akampeleka gerezani.
Tarehe iliyofuata, mkuu wa idara akaja.
Jaji akasema kwakuwa amekuja anayetakiwa kutoa ushahidi wewe ulie gerezani utatoka huyu atakayetoa ushahidi ndio atakuwa ndani hadi mwezi wa saba kesi itakaposikilizwa.
Ngwilimi akapeleka revision,
Huku shinyanga siku hizi pazuri sana. 😂😂😂
Order ya kumshikilia imefutwa under CAT R 39 (6) reasons reasons reserved. 😄😄😄
Shahidi ambae ni afisa ardhi alipata summons tatu hakuja Mahakamani ikatolewa ya nne kwa jina lake hakuja kwa sababu alipangiwa jukumu na mkuu wa idara.
Ikatoka nyingine akaja akasema yeye sio mkuu wa idara na hawezi kutoa ushahidi kwa mujibu wa sheria hadi mkuu wake wa idara aje
Jaji akasema kwa kuwa hamji mkiitwa utatokea gerezani, akampeleka gerezani.
Tarehe iliyofuata, mkuu wa idara akaja.
Jaji akasema kwakuwa amekuja anayetakiwa kutoa ushahidi wewe ulie gerezani utatoka huyu atakayetoa ushahidi ndio atakuwa ndani hadi mwezi wa saba kesi itakaposikilizwa.
Ngwilimi akapeleka revision,
Huku shinyanga siku hizi pazuri sana. 😂😂😂
Order ya kumshikilia imefutwa under CAT R 39 (6) reasons reasons reserved. 😄😄😄