Shindano la kumtafuta miss jf (MMU)

Shindano la kumtafuta miss jf (MMU)

Binafsi napendelea kusema wadada/ wamama wote ni mamiss humu ndani MMU , you are all beautiful ,health, young and Hot . Go Ladies, I love you all. Thanks.
Halafu we Dada nimeanza kukupenda ghafla,sijui kwa nini!

Inaonekana una busara hivi!!
 
vigezo vya kuwa miss ni vp? kabla sijaanza kupendekeza mhusika

vigezo ni vile vile vya lundega ila umri hatuzingatii coz watanzania wengi hawapendi kudisplay umri wao.
 
Vigezo ni vile vile vya hashimu lundenga,ila hapa swala la umri hatu zingatii tafadhali.

Hahaha na kichina kiwekwe kweny options za lgs za kujibia...if possible even vernacular lgs..
 
MMU hakuna haya mambo, wapo washiriki kule chit chat, unastukia mtu ame-pm anaomba umipigie kura ashinde
 
Big NDIOOOOO....au ndio nothing last forever? ??? teh ile hela ishaisha asee nasublia mwingine akosee

Hahahah haya bana kama umekula hela ya watu sasa subiri mwenyewe akupigie akudai ILE ILE sio kama ile....sijui utaitoa wapi??
 
Hahahah haya bana kama umekula hela ya watu sasa subiri mwenyewe akupigie akudai ILE ILE sio kama ile....sijui utaitoa wapi??

haha namshukuru mungu nowadays hazina mapemaaaaa...haipiti tar 26 yan
 
Back
Top Bottom