Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,435
- 1,626
Habari Tanzania !..
Wewe kijana ukipewa kiasi cha pesa Tsh.1,000/=. Ukaambiwa ndani ya siku 7 uifanyie uzalishaji hiyo pesa kwa zaidi ya mapato ya Tsh.100,000/= utaweza!?..
Endapo ukiweza kuzalisha hiyo pesa utapata kiasi cha Tsh.10,000,000/= taslimu bure kabisa. Uweze kuendeleza kile utakachokuwa umekianzisha na zaidi.
Karibu.
Wewe kijana ukipewa kiasi cha pesa Tsh.1,000/=. Ukaambiwa ndani ya siku 7 uifanyie uzalishaji hiyo pesa kwa zaidi ya mapato ya Tsh.100,000/= utaweza!?..
Endapo ukiweza kuzalisha hiyo pesa utapata kiasi cha Tsh.10,000,000/= taslimu bure kabisa. Uweze kuendeleza kile utakachokuwa umekianzisha na zaidi.
Karibu.