Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 512
- 140
Ilikuwa imezoeleka kuona matangazo ya kazi magazetini yakihitaji mtu mwenye bachelor akihitajika,na mara chache sana nimeona mtu mwenye diploma akihitajika
Ili kilichonichanganya leo,ni pale nilipoona tangazo likiwa katika hali ya BLACK AND WHITE,kwenye Nguzo ya umeme,ikihitaji mtu mwenye bachelor kama kigezo cha kupata kazi
Nilishtuka sana,kumbe bachelor sasa imeanza poteza umaarufu!
Ili kilichonichanganya leo,ni pale nilipoona tangazo likiwa katika hali ya BLACK AND WHITE,kwenye Nguzo ya umeme,ikihitaji mtu mwenye bachelor kama kigezo cha kupata kazi
Nilishtuka sana,kumbe bachelor sasa imeanza poteza umaarufu!