Shillingi ya Tanzania hoi dhidi ya US $

Kwa mtazamo wangu naona NI VIZURI sana sana kushuka kwa thamani ya pesa yetu katika SOKO la fedha la KIMATAIFA.

Uzuri ni kuwa watanzania Wafanya BIASHARA wanao EXPORT/ uza nje watapata FAIDA kubwa zaidi na hivyo kuweza KULIPA kodi/ushuru wa serikali bila shida na hivyo nchi kufanikiwa.

Kama una habari, Rais mteule wa Marekani AMEIONYA China kuwa ina MCHEZO wa MAKSUDI wa KUISHUSHA thamani ya pesa yake ili NCHI YAKE IFAIDIKE!
Na ni kweli China ni MANIPULATORS wa currency yao wakubwa sana.

Kwa hivyo mkuu hakuna kitakacho panda bei. Isipokuwa kwa vituVINAVYOAGIZWA toka nje ya nchi. Na Mtanzania wa kawaida saa ngapi ataenda kununua imported goods si wale tu WALIONAZO nao ni WACHACHE?

Itafika wakati itabaki katika kiwango hitajika.
Hasa kama watu wengi HAWAINUNUI DOLA kwa PUPA!

Labda kwa sasa kuna watu WANAONUNUA DOLA SANA na kwa PUPA.basi lazima tu thamani ishuke. Mpaka hapo BANKI kuu ITAKAPOGUTUKA!

Sina lengo la kusema shillinng imepanda ama imeshuka lakini natoa maelezo kidogo tu kuhusu concept ya exchange rate na impact yake kwenye uchumi na maendeleo
Shige, Kuna jambo moja unatakiwa ulielewe. Kinachotokea China huwezi ukakifananisha na Bongo. the exchange rate market ni complex lakini nitajaribu kulifanya atleast simple kama ifuatavyo.

Kuna kitu knaitwa Purchasing Power Parity (PPP), Kuna Nominal Exchange rate (NER) na Kuna Real Exchange Rate (RER).
NER = Kwenye pesa
RER = kwenye product

Kwenye uchumi lengo kubwa la importation ni exportation and the other way around (Yaani tunatoa bidhaa nje tulizo nazo kwa lengo la kubadirishani kupata bidhaa tusizonazo).

yaani tunawapa pamba ambayo sisi tunayo ili watupe nguo ambazo sisi hatuna (a very simple explanation of exchange rate, importation and exprotation) sasa badala ya kuziita pamba na nguo (PPP and RER) tunizipa majina ya pesa (NER) pamba iwe shilling na nguo iwe dollar.

NOTE: kwenye maelezo yanayokuja pamba itakuwa inarefer shilling na nguo itakuwa inarefer dollar

Sasa unahitaji pamba(shilling) 2100 ili kupata nguo(dollar) 1.

sasa ikitokea samahani ya nguo(dollar) ikaongezeka and ikawa zinahitajika pamba(shiling) nyingi basi kununua nguo(dollarr) 1 basi badala ya kuexport pamba 2100 kupata nguo 1 itabidi uexport pamba nyingi 2300 kupata nguo 1. kwenye uchumi hapa umekuwa umeincrease export yako.(Kuna notion kwamba export is a good thing for a country) Lakini hii increase inakuwa haikuongezi idadi ya pesa za kigeni nchi and inaleta development ndogo or not at all.

Kina chotokea china ni something different.
China ana over-capacity and overproduction sasa anakuwa na bidhaa nyingi sasa,, kwa kutumia concept ya hapo (tutumie huo huo mfano wa pamba na nguo).. China kadhalisha pamba nyingi kweli lakini hana pa kuipeleka lakini thamani ya nguo ipo pale pale.,, anachofanya anashusha thamani ya pamba yake (kutoka pamba 10 kununua nguo 1 anashusha thamani ya pamba ili atumie pamba 50 kununua nguo 1, ili kupunguza overproduction na kuendelea kuongeza ajira zake) kwa mtindo huo anakuwa anatumia pamba (pesa ya kichina) nyingi ambayo yeye hata hana shida nayo ili kupata nguo (dollar) ambayo anashida nayo sana.

Madhara kwa marekani yake ni nini,,
Mchina anakuwa na Export kubwa, kutokana na overproduction and overcapacity yake aliyo nayo and hence anaongeza ajira na kukuza uchumi.

Another thing mchina anakutwa anakuwa na nguo (dollar) nyingi sana kiasi kwamba Mmarekani hata akitakaa kucontrol idadi ya dollar kwenye circulation wanashindwa..

Economic crisis ya 2008, moja ya sababu ya wamerakani kushindwa kuidhuia mapema, wakati marekani anajitahidi kudhui circulation ya dollar kwenye mzunguko kwa kupandisha interest kwenye bond zake,, china akajitokeza akawa anatoa dollar kwa interest ndogo tofauti na Marekani.

Sasa Kwetu kinachotokea huwezi ukakifananisha na mchezo wanaucheza china. sasa increase yetu of export haituongezi dollar (foreign goods) maana shilling yetu ndo inayukuwa inatumika sasa.
 
Kwa mtazamo wangu naona NI VIZURI sana sana kushuka kwa thamani ya pesa yetu katika SOKO la fedha la KIMATAIFA.

Uzuri ni kuwa watanzania Wafanya BIASHARA wanao EXPORT/ uza nje watapata FAIDA kubwa zaidi na hivyo kuweza KULIPA kodi/ushuru wa serikali bila shida na hivyo nchi kufanikiwa.

Kama una habari, Rais mteule wa Marekani AMEIONYA China kuwa ina MCHEZO wa MAKSUDI wa KUISHUSHA thamani ya pesa yake ili NCHI YAKE IFAIDIKE!
Na ni kweli China ni MANIPULATORS wa currency yao wakubwa sana.

Kwa hivyo mkuu hakuna kitakacho panda bei. Isipokuwa kwa vituVINAVYOAGIZWA toka nje ya nchi. Na Mtanzania wa kawaida saa ngapi ataenda kununua imported goods si wale tu WALIONAZO nao ni WACHACHE?

Itafika wakati itabaki katika kiwango hitajika.
Hasa kama watu wengi HAWAINUNUI DOLA kwa PUPA!

Labda kwa sasa kuna watu WANAONUNUA DOLA SANA na kwa PUPA.basi lazima tu thamani ishuke. Mpaka hapo BANKI kuu ITAKAPOGUTUKA!
Ni kipi tunacho zalisha hapa mpaka useme ni walio nacho tu ndiyo watakao nunua kutoka nje ya nchi? Kumbuka umeme wetu mpaka sasa ni ule wa kuzalisha ili utumike, inahitajika petrol na malighafi zingine ambazo tunaziagiza kutoka nje, viwanda vichache tulivyo navyo asilimia kubwa ya malighafi tunaagiza kutoka nje ili huyo mtu wa chini atumie, kwanini basi kuwe na mfumuko wa bei? Toothpick yenyewe tuna import. Labda maandazi an vitumbua ambavyo mafuta yanayo kaangia machine zake za kukamulia hayo mafuta 'zenye ubora' zinatoka nje. Bado dola chache zilizo baki tunaenda kununulia ndege, uwiiiiiiii. Kazi kweli kweli
 
Itashuka hadi chini ya hapo viwanda vya sukari vinavyojengwa na mifuko yetu ya jamii vitakapokamilika. Sasa hivi tuna viwanda vya wahindi tu na hawana competition.
Hizo bado ni ndoto ambazo kwa Tanzania tumezoea kuota
 
Naona Unatafuta Kwa Nguvu Kiagenda Cha Kutokea - Siasa Bana

- Kama Ulikuwa Hujui Mpaka Mwishoni Mwa Mwaka Jana Dola Moja Ya Marekani Ilikuwa Inanunuliwa Kwa 2,300 Tsh
Hii ya kununuliwa kwa 2,300 sidhani,labda kama unataka kujenga hoja kwamba sasa uchumi umeanza kuimarika, jambo ambalo sidhani kama ni kweli!
 
Sina lengo la kusema shillinng imepanda ama imeshuka lakini natoa maelezo kidogo tu kuhusu concept ya exchange rate na impact yake kwenye uchumi na maendeleo
Shige, Kuna jambo moja unatakiwa ulielewe. Kinachotokea China huwezi ukakifananisha na Bongo. the exchange rate market ni complex lakini nitajaribu kulifanya atleast simple kama ifuatavyo.

Kuna kitu knaitwa Purchasing Power Parity (PPP), Kuna Nominal Exchange rate (NER) na Kuna Real Exchange Rate (RER).
NER = Kwenye pesa
RER = kwenye product

Kwenye uchumi lengo kubwa la importation ni exportation and the other way around (Yaani tunatoa bidhaa nje tulizo nazo kwa lengo la kubadirishani kupata bidhaa tusizonazo).

yaani tunawapa pamba ambayo sisi tunayo ili watupe nguo ambazo sisi hatuna (a very simple explanation of exchange rate, importation and exprotation) sasa badala ya kuziita pamba na nguo (PPP and RER) tunizipa majina ya pesa (NER) pamba iwe shilling na nguo iwe dollar.

NOTE: kwenye maelezo yanayokuja pamba itakuwa inarefer shilling na nguo itakuwa inarefer dollar

Sasa unahitaji pamba(shilling) 2100 ili kupata nguo(dollar) 1.

sasa ikitokea samahani ya nguo(dollar) ikaongezeka and ikawa zinahitajika pamba(shiling) nyingi basi kununua nguo(dollarr) 1 basi badala ya kuexport pamba 2100 kupata nguo 1 itabidi uexport pamba nyingi 2300 kupata nguo 1. kwenye uchumi hapa umekuwa umeincrease export yako.(Kuna notion kwamba export is a good thing for a country) Lakini hii increase inakuwa haikuongezi idadi ya pesa za kigeni nchi and inaleta development ndogo or not at all.

Kina chotokea china ni something different.
China ana over-capacity and overproduction sasa anakuwa na bidhaa nyingi sasa,, kwa kutumia concept ya hapo (tutumie huo huo mfano wa pamba na nguo).. China kadhalisha pamba nyingi kweli lakini hana pa kuipeleka lakini thamani ya nguo ipo pale pale.,, anachofanya anashusha thamani ya pamba yake (kutoka pamba 10 kununua nguo 1 anashusha thamani ya pamba ili atumie pamba 50 kununua nguo 1, ili kupunguza overproduction na kuendelea kuongeza ajira zake) kwa mtindo huo anakuwa anatumia pamba (pesa ya kichina) nyingi ambayo yeye hata hana shida nayo ili kupata nguo (dollar) ambayo anashida nayo sana.

Madhara kwa marekani yake ni nini,,
Mchina anakuwa na Export kubwa, kutokana na overproduction and overcapacity yake aliyo nayo and hence anaongeza ajira na kukuza uchumi.

Another thing mchina anakutwa anakuwa na nguo (dollar) nyingi sana kiasi kwamba Mmarekani hata akitakaa kucontrol idadi ya dollar kwenye circulation wanashindwa..

Economic crisis ya 2008, moja ya sababu ya wamerakani kushindwa kuidhuia mapema, wakati marekani anajitahidi kudhui circulation ya dollar kwenye mzunguko kwa kupandisha interest kwenye bond zake,, china akajitokeza akawa anatoa dollar kwa interest ndogo tofauti na Marekani.

Sasa Kwetu kinachotokea huwezi ukakifananisha na mchezo wanaucheza china. sasa increase yetu of export haituongezi dollar (foreign goods) maana shilling yetu ndo inayukuwa inatumika sasa.
Sina lengo la kusema shillinng imepanda ama imeshuka lakini natoa maelezo kidogo tu kuhusu concept ya exchange rate na impact yake kwenye uchumi na maendeleo
Shige, Kuna jambo moja unatakiwa ulielewe. Kinachotokea China huwezi ukakifananisha na Bongo. the exchange rate market ni complex lakini nitajaribu kulifanya atleast simple kama ifuatavyo.

Kuna kitu knaitwa Purchasing Power Parity (PPP), Kuna Nominal Exchange rate (NER) na Kuna Real Exchange Rate (RER).
NER = Kwenye pesa
RER = kwenye product

Kwenye uchumi lengo kubwa la importation ni exportation and the other way around (Yaani tunatoa bidhaa nje tulizo nazo kwa lengo la kubadirishani kupata bidhaa tusizonazo).

yaani tunawapa pamba ambayo sisi tunayo ili watupe nguo ambazo sisi hatuna (a very simple explanation of exchange rate, importation and exprotation) sasa badala ya kuziita pamba na nguo (PPP and RER) tunizipa majina ya pesa (NER) pamba iwe shilling na nguo iwe dollar.

NOTE: kwenye maelezo yanayokuja pamba itakuwa inarefer shilling na nguo itakuwa inarefer dollar

Sasa unahitaji pamba(shilling) 2100 ili kupata nguo(dollar) 1.

sasa ikitokea samahani ya nguo(dollar) ikaongezeka and ikawa zinahitajika pamba(shiling) nyingi basi kununua nguo(dollarr) 1 basi badala ya kuexport pamba 2100 kupata nguo 1 itabidi uexport pamba nyingi 2300 kupata nguo 1. kwenye uchumi hapa umekuwa umeincrease export yako.(Kuna notion kwamba export is a good thing for a country) Lakini hii increase inakuwa haikuongezi idadi ya pesa za kigeni nchi and inaleta development ndogo or not at all.

Kina chotokea china ni something different.
China ana over-capacity and overproduction sasa anakuwa na bidhaa nyingi sasa,, kwa kutumia concept ya hapo (tutumie huo huo mfano wa pamba na nguo).. China kadhalisha pamba nyingi kweli lakini hana pa kuipeleka lakini thamani ya nguo ipo pale pale.,, anachofanya anashusha thamani ya pamba yake (kutoka pamba 10 kununua nguo 1 anashusha thamani ya pamba ili atumie pamba 50 kununua nguo 1, ili kupunguza overproduction na kuendelea kuongeza ajira zake) kwa mtindo huo anakuwa anatumia pamba (pesa ya kichina) nyingi ambayo yeye hata hana shida nayo ili kupata nguo (dollar) ambayo anashida nayo sana.

Madhara kwa marekani yake ni nini,,
Mchina anakuwa na Export kubwa, kutokana na overproduction and overcapacity yake aliyo nayo and hence anaongeza ajira na kukuza uchumi.

Another thing mchina anakutwa anakuwa na nguo (dollar) nyingi sana kiasi kwamba Mmarekani hata akitakaa kucontrol idadi ya dollar kwenye circulation wanashindwa..

Economic crisis ya 2008, moja ya sababu ya wamerakani kushindwa kuidhuia mapema, wakati marekani anajitahidi kudhui circulation ya dollar kwenye mzunguko kwa kupandisha interest kwenye bond zake,, china akajitokeza akawa anatoa dollar kwa interest ndogo tofauti na Marekani.

Sasa Kwetu kinachotokea huwezi ukakifananisha na mchezo wanaucheza china. sasa increase yetu of export haituongezi dollar (foreign goods) maana shilling yetu ndo inayukuwa inatumika sasa.
Mkuu nashukuru kwa maelezo yako mazuri. Labda ku add up tunaweza kusema kuwa kuna PRON n CONS ya kila jambo.
Pesa IKIIMARIKA sana basi WATALII HUPUNGUA nk. Maana itawabidi watumie fedha yao ya kigeni nyingi ili wanunue shillingi yetu.
Na matokeo yake nchi yetu inakuwa BRANDED as an expensive destination na hivyo UTALII HUSHUKA.Faida ni kuwa kuimarika kwake kuna some positive effects hasa kwa waagizaji wa mali ghafi na by extension ina curb inflation nk
Nakubaliana nawe kuwa IKISHUKA CHINI sana tena si vizuri ni kama ulivyotoa maelezo hapo juu!
 
Duh! Maana viwanda havijaanza kuzalisha? Tuliambiwa itakuwa nchi ya viwanda na itafika mahali tutawauzia mpaka wazungu mitumba.
Ha ha ha ha chaliiiiiiii

Hii nchi tajiri sana, ha ha ha ha
 
Nakuelewa mkuu. Una pointi.Tunanunua karibu kila kitu hasa mafuta mali ghafi madawa nk.
Nakubaliana nawe ile dola kidogo tunaitumia vibaya.
Hiyo ndo hulka ya mwafrika ilivyo. Vipau mbele vyetu viko upside down/juu chini.
Na ndo maana Africa itachukuwa muda mwingi kuyafikia maendeleo ya watu!
 
Nakuelewa mkuu. Una pointi.Tunanunua karibu kila kitu hasa mafuta mali ghafi madawa nk.
Nakubaliana nawe ile dola kidogo tunaitumia vibaya.
Hiyo ndo hulka ya mwafrika ilivyo. Vipau mbele vyetu viko upside down/juu chini.
Na ndo maana Africa itachukuwa muda mwingi kuyafikia maendeleo ya watu!
Kuna tatizo la kisera kwenye nchi nyingi. katika kujua priority.
 
"Tanzania ya Magufuli ni ya Viwanda!Viwanda! Viwanda!
Tanzani ni nchi tajiri sana haihitaji mikopo ila yenyewe ndiyo inatakiwa ikopeshe!
Natamani malaika washuke toka mbinguni wafunge mitandao yote ya kijamii na baada ya miaka mitano waifungue ili watu waone maendeleo tuliyofikia!
Sitaki nione mtu ananichelewesha kwenye maendeleo, kuanzia sasa hakuna mikutano ya kisiasa ya nje wala ndani mpaka 2020!
Mimi ni tofauti sana na sijaribiwi!"

JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, 2016.
Nawaombeni video or audio clip ya hii kauli muhimu nikaitunze for 5 years!
 
Kwa mtazamo wangu naona NI VIZURI sana sana kushuka kwa thamani ya pesa yetu katika SOKO la fedha la KIMATAIFA.

Uzuri ni kuwa watanzania Wafanya BIASHARA wanao EXPORT/ uza nje watapata FAIDA kubwa zaidi na hivyo kuweza KULIPA kodi/ushuru wa serikali bila shida na hivyo nchi kufanikiwa.

Kama una habari, Rais mteule wa Marekani AMEIONYA China kuwa ina MCHEZO wa MAKSUDI wa KUISHUSHA thamani ya pesa yake ili NCHI YAKE IFAIDIKE!
Na ni kweli China ni MANIPULATORS wa currency yao wakubwa sana.

Kwa hivyo mkuu hakuna kitakacho panda bei. Isipokuwa kwa vituVINAVYOAGIZWA toka nje ya nchi. Na Mtanzania wa kawaida saa ngapi ataenda kununua imported goods si wale tu WALIONAZO nao ni WACHACHE?

Itafika wakati itabaki katika kiwango hitajika.
Hasa kama watu wengi HAWAINUNUI DOLA kwa PUPA!

Labda kwa sasa kuna watu WANAONUNUA DOLA SANA na kwa PUPA.basi lazima tu thamani ishuke. Mpaka hapo BANKI kuu ITAKAPOGUTUKA!
Uchumi umenipita kushoto sana.
Unasema hakuna kitakachopanda bei labda ni vile tu vinavyoagizwa nje.
Unaongeza kuwa ni wale wenye nazo tu ndio hununua vitu imported. Serious?
 
Kuna tatizo la kisera kwenye nchi nyingi. katika kujua priority.
Na hilo limetu cost sana hasa hapa Africa ISIPOKUWA Botswana.
Botswana wamejaribu sana sana kuleta maendeleo ya WATU hasa baada ya kugundua madini ya Almasi.
Rais wake amehakikisha
MAJI,
NYUMBA BORA si bora nyumba
ELIMU na
KUMALIZA ama KUITOKOMEZA RUSHWA/UFISADI kabisa.
Tunaweza kujifunza toka kwao. Hata naye HAENDAGI nchi za nje kiholela!
 
Sina lengo la kusema shillinng imepanda ama imeshuka lakini natoa maelezo kidogo tu kuhusu concept ya exchange rate na impact yake kwenye uchumi na maendeleo
Shige, Kuna jambo moja unatakiwa ulielewe. Kinachotokea China huwezi ukakifananisha na Bongo. the exchange rate market ni complex lakini nitajaribu kulifanya atleast simple kama ifuatavyo.

Kuna kitu knaitwa Purchasing Power Parity (PPP), Kuna Nominal Exchange rate (NER) na Kuna Real Exchange Rate (RER).
NER = Kwenye pesa
RER = kwenye product

Kwenye uchumi lengo kubwa la importation ni exportation and the other way around (Yaani tunatoa bidhaa nje tulizo nazo kwa lengo la kubadirishani kupata bidhaa tusizonazo).

yaani tunawapa pamba ambayo sisi tunayo ili watupe nguo ambazo sisi hatuna (a very simple explanation of exchange rate, importation and exprotation) sasa badala ya kuziita pamba na nguo (PPP and RER) tunizipa majina ya pesa (NER) pamba iwe shilling na nguo iwe dollar.

NOTE: kwenye maelezo yanayokuja pamba itakuwa inarefer shilling na nguo itakuwa inarefer dollar

Sasa unahitaji pamba(shilling) 2100 ili kupata nguo(dollar) 1.

sasa ikitokea samahani ya nguo(dollar) ikaongezeka and ikawa zinahitajika pamba(shiling) nyingi basi kununua nguo(dollarr) 1 basi badala ya kuexport pamba 2100 kupata nguo 1 itabidi uexport pamba nyingi 2300 kupata nguo 1. kwenye uchumi hapa umekuwa umeincrease export yako.(Kuna notion kwamba export is a good thing for a country) Lakini hii increase inakuwa haikuongezi idadi ya pesa za kigeni nchi and inaleta development ndogo or not at all.

Kina chotokea china ni something different.
China ana over-capacity and overproduction sasa anakuwa na bidhaa nyingi sasa,, kwa kutumia concept ya hapo (tutumie huo huo mfano wa pamba na nguo).. China kadhalisha pamba nyingi kweli lakini hana pa kuipeleka lakini thamani ya nguo ipo pale pale.,, anachofanya anashusha thamani ya pamba yake (kutoka pamba 10 kununua nguo 1 anashusha thamani ya pamba ili atumie pamba 50 kununua nguo 1, ili kupunguza overproduction na kuendelea kuongeza ajira zake) kwa mtindo huo anakuwa anatumia pamba (pesa ya kichina) nyingi ambayo yeye hata hana shida nayo ili kupata nguo (dollar) ambayo anashida nayo sana.

Madhara kwa marekani yake ni nini,,
Mchina anakuwa na Export kubwa, kutokana na overproduction and overcapacity yake aliyo nayo and hence anaongeza ajira na kukuza uchumi.

Another thing mchina anakutwa anakuwa na nguo (dollar) nyingi sana kiasi kwamba Mmarekani hata akitakaa kucontrol idadi ya dollar kwenye circulation wanashindwa..

Economic crisis ya 2008, moja ya sababu ya wamerakani kushindwa kuidhuia mapema, wakati marekani anajitahidi kudhui circulation ya dollar kwenye mzunguko kwa kupandisha interest kwenye bond zake,, china akajitokeza akawa anatoa dollar kwa interest ndogo tofauti na Marekani.

Sasa Kwetu kinachotokea huwezi ukakifananisha na mchezo wanaucheza china. sasa increase yetu of export haituongezi dollar (foreign goods) maana shilling yetu ndo inayukuwa inatumika sasa.

Mkuu kuna sehemu mbili kwenye bandiko lako hauko sahihi kabisa, umepotosha na ningekuomba ufanye busara na kurekebisha ili wanafunzi wanaojifunza uchumi hapa JF wasipotoke.

1. Ni wewe tu pekeyako hapa duniani unasema kwamba ukiongoza export huwezi kuongeza foreign currency. Wewe peke yako na sijui mwenzetu ulisoma kitabu gani.

Kitu ambacho ungejaribu kukisema na wachumi wakakielewa ni declining terms of trade au trade deficit ukiwa na maana kwamba pato letu from export haliwiani na matumizi yetu (imports) ambayo lazima tuyagharamie kutokana na mapato ya exports.

2: Concept yako ya purchasing power parity (PPP) nayo umeitumia kusiko na ndio maana imeuigusa tu na ukaikimbia maana haiwezi kutumika katika bandiko lako. PPP manake rahisi sana; kwamba bidhaa moja yenye viwango, ubora, na kipimo sawa ikiwa inauzwa kwenye nchi mbili, basi utofauti wa bei katika nchi mbili ni tofauti ya exchange rate (kiasi kinachobadiri ela ya nchi moja kwenda nyingine). Kwa maana nyingine bei ya bidhaa hiyo katika nchi mbili itaakisi exchange rate kati ya nchi hizo. PPP ni kanuni ya kipumbavu ambayo sasa haina mashiko sana kwa wachumi wa biashara ya kimataifa.
 
Uchumi umenipita kushoto sana.
Unasema hakuna kitakachopanda bei labda ni vile tu vinavyoagizwa nje.
Unaongeza kuwa ni wale wenye nazo tu ndio hununua vitu imported. Serious?
Mkuu nilikuwa nataka kusema vitu vya GHARAMA ndo wenye nazo wanazimudu.
Hata hivyo on the same note uko SAHIHI kabisa.
Maana kwa njia moja ama nyingine SOTE tunatumia imported goods of some sort!
 
Naona Unatafuta Kwa Nguvu Kiagenda Cha Kutokea - Siasa Bana

- Kama Ulikuwa Hujui Mpaka Mwishoni Mwa Mwaka Jana Dola Moja Ya Marekani Ilikuwa Inanunuliwa Kwa 2,300 Tsh
Na Leo ni 2170 siyo 2180
 
Back
Top Bottom