Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,058
Kuuliza ni kutaka kujua tu ndugu yangu, ingawa wakati mwingine hapa JF mtu kasoma kitabu chake cha Nyangwine, introduction to economics anataka kuja kufanya uchambuzi wa kiwango cha maprofesa wabobezi, ni shida kidogo. Mara nyingi uchumi hauna jawabu YES, au NO; kila policy ina kanuni zake ndipo itoe manufaa tarajiwa, wanasema "IT DEPENDS.."..Mipangomingi unaliza maswali mengi wakati unatakiwa kujibu maswali ya mleta mada kama unaweza kujibu
Swali Kwa nini US$1=2180Tsh sio blah market force blah central bank policy. Tuelimishe