Shilingi yetu aibu tupu

Pata darsa dogo:

Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000

Kenya, dollar 1 = KES 87 Kenya mkate huo huo = KES 90

Congo Dollar 1 = CDF 920 Congo mkate huo huo = CDF 1500

Yupi bora hapo?

kenya mkate wauzwa ksh45-50. Hizo ya 90 ni ile ya 800g.
Ukilinganisha ubadilishanaji wa sarafu mttu huangalia mapato ya wafanyikazi na bei ya bidhaa zinavyoagizwa kutoka nje. Kwa mfano ni mwalimu wa shule za upili aliye katika daraja ya kiingilio analipwa aje kati ya Kenya na Tanzania kisha uangalie bei ya kununua gari.
 

Soma vizuri.
 

Umehororoja sana lakini hujajibu swali langu, rudia tena.
 

Ur correct kaka.but watu wanspigana vita kila siku.kodi awalip but saraf yao iko juu.hapa siasa tu ndo zimejaa
 
Tulikua tunawacheka wazimbabwe sasa nao wametuacha mbali ni aibu tupu sijui ccm wanatupeleka wapi!
unafananisha Zimbabwe na Tanzania kweli hapa kazi ipo. Zimbabwe hawana pesa yao Tanzania tuna pesa yetu utafananishaje??? Nazani tafuta kingine lakini sio swala la Shilling kushuka.
 
Fafanua uzuri Mkuu! Kwa mimi Mwendabure hapa nimetoka bure bin kapa. naamini wapo wengine pia.
Tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…