Yule msoma makaratazi tokea zamani nilishaona hakuna kichwa pale. Maneno mengi na unoko ndivyo vilimpa jina ila hakuna kiongozi tazama leo anavyojidhihirisha upumbavu wake.Kamsikilize yule tumbili 🐒 wa PPP anavyopiga uradi kwa mama yake
Watu wanajitoa akili ili waifaidi keki 🍰 ya taifaYule msoma makaratazi tokea zamani nilishaona hakuna kichwa pale. Maneno mengi na unoko ndivyo vilimpa jina ila hakuna kiongozi tazama leo anavyojidhihirisha upumbavu wake.
Wachumi mbona mpo kimya na hamna maelezo?
Waziri mwenye dhamana,nini kinaendelea katika uchumi wetu?
Wacha iporomoke. Wewe unahitaji dola au pesa ya aina nyingine ya kazi gani ?Wachumi mbona mpo kimya na hamna maelezo?
Waziri mwenye dhamana,nini kinaendelea katika uchumi wetu?