Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,545
- 2,542
Mimi nafikiria lini ndege itaanza safari za kuja huku nilipo wewe unafurahia kulala Moro,,,tena kwenye basi,,Dahhh kweli MTU hufikiria kulingana na mazingira YAke,,,,malemwalini ndege st: 19491464 said:Salm wana wa JF
Kumbe Tz Sumatra Mnaweza kuzuia ajari na watu tukatembea kwa amani pasipo kuskia hajari
Nawapongeza kwa kufunga GPRS kwa Magari yanayotokea Mwanza kwenda Dar kiukweli madereva wanaendesha kwa nidhamu kubwa na kwa kujari vibao vyote vya barabaran japo tumelala Morogoto
Wanabodi mnalionaje ili
Karne hii si ya kulala kwenye mabasi ndugu,,,mjukuuu Wa BABu Maguu