rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,267
- 24,108
tatizo zikitokea ajali tunakimbili kudhani zimesababishwa na mwendo kasi tunasahau kuna vitu vingine vinachangia kama ubovu wa barabara, matairi kuwa chini ya viwango, mifumo ya break za magari kuna kipindi marekani waligundua ubovu wa mfumo mbovu wa break wa magari ya toyota ikabidi toyota zote zirudishwe na faini juu na juzijuzi wamegundua udanganyifu uliofanywa na kampuni ya VW wakaipiga faini kubwa.Tutaendelea kudhibiti mwendo lakini bila kuchunguza sababu nyingine bado ajali zitaendelea kutokea