Shikamoo Membe

Shikamoo Membe

Mabeberu

Member
Joined
Jan 3, 2019
Posts
79
Reaction score
142
Nimesikiliza Press ya familia ya bwana Allan aliyedaiwa kutekwa na kuachiwa hapo jana, Jina la bwanaBernard Membe limetajwa na Shkrani nyingi kwake kwa kufanikisha kuachiwa kwa huyu bwana.

Ni ukweli usiyepinginga Bwana membe ni Mbobezi kwenye masuala mazima ya Ujasusi, Inawezekana Membe ametumia taaluma yake kusaidia kupatikana kwa huyu Bwana?

Yaani jamaa ni kama vile alikua pale kilimanjaro hotel anakula buger, sio kwa kung'aa vile!
 
Ngoja tumuhamishie Chatu, Chatle na yeye.
Membe nini bana, Siye tunaendeleza Chatu
 
Kuna Mnene mmoja wa Mfumo aliwah nambia

Hata huyu bwana Mkubwa atatulizwa tu

Wazee wastaafu wameunda hiki kikaragosi ili Mzee arudi kwenye Meza ya Mazungumzo


Siku hizi hatukani tena wastaafu wala Chama
 
Nimesikiliza Press ya familia ya bwana Allan aliyedaiwa kutekwa na kuachiwa hapo jana, Jina la bwanaBernard Membe limetajwa na Shkrani nyingi kwake kwa kufanikisha kuachiwa kwa huyu bwana.

Ni ukweli usiyepinginga Bwana membe ni Mbobezi kwenye masuala mazima ya Ujasusi, Inawezekana Membe ametumia taaluma yake kusaidia kupatikana kwa huyu Bwana?

Yaani jamaa ni kama vile alikua pale kilimanjaro hotel anakula buger, sio kwa kung'aa vile!
Hakuna cha Membe wala nin, wamemalizana naye na wameamua kumuachia, Membe anatafuta tu kiki.. over.
 
Back
Top Bottom