Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

Kuna Maneno Tukiyazungumza Hapa Tutaonekana Wakabila,tunadharau Watu Wengine Any Way Busara Zaidi Itumike Kwa Huyu Bwana Mkubwa
 
ktk magazet ya udaku zipo hbr ambazo zinakuwa zimetengenezwa kwa ustadi ili kuuza gazeti.

hawana tofauti na maigizo.
 
Hii kampuni imechangia kwa kiasi kikubwa maporomoko ya heshima,nidhamu,utu na tamaduni za mTz.Hii kitu nchi nyingine angepigwa stop kwa ajili ya Public Interest..Sasa breaking news vichochoroni,ofisi kwny gesti yaani hata Hq yao ipo red light..SHIGONGO UTUACHE!!
 
Global Publisher wasifanye uandishi dhaifu je baba yake Erick akikaa uchi wanaweza kumpiga picha? Tumeona habari nyingi za uingiliaji wa faragha za watu na wananganganizwa kupigwa picha huu ni unyama. Pesa mnazokula ni haramu kwa kuingilia faragha za watu. Kuna jambo gani geni kwenye ngono? Fuatilieni mambo yenye tija anayomomyoa uchumi na sio vi cheap stories kwenye faragha za watu hakika tutalifilisi gazeti siku moja
 
namalizia process nipate cha moto a.k.a mguu wa kuku wakinikuta faragha tu masikio yao halali yangu

yaani inakua ny.ege ni zangu umbea ni wao roho zao ni halali yangu

Naam hiyo ndio dawa yao wapumbavu wale.kwanin wasijikite kwenye kufuatilia mafisadi,?
 
Naam hiyo ndio dawa yao wapumbavu wale.kwanin wasijikite kwenye kufuatilia mafisadi,?

Mkuu kwani kuna mwandishi pale wa kuweza kutuletea habari zenye mashiko? Nasema mbali na kuwafilisi ni kuwapa za uso hadi wakome na umbea. Binafsi naanza mpango huo najificha chocho halafu nawaunganisha hao OFM wakija kichwakichwa ni kuachia manati ya mzungu waseme nayo ili tukutane kwa kova.
 
Hio haiwapi kibali cha kufanya wanachofanya...

Zunguka duniani kote hakuna sheria inayoruhusu faragha ya mtu kuingiliwa labda kuwa na special order from the court!!

Je hawa GPL wametumwa kufanya hayo wanayofanya, hapo tujiulize.
 
Zunguka duniani kote hakuna sheria inayoruhusu faragha ya mtu kuingiliwa labda kuwa na special order from the court!!

Je hawa GPL wametumwa kufanya hayo wanayofanya, hapo tujiulize.

Mwisho wao upo karibu... km hawatobadilika
 
Right to Privacy is a Constitutional Rights. Interfering with ones privacy attracts heavy Penalty! Kuna kila sababu ya kuwasaidia Wahanga wa huu ujinga wa Shigongo muone kama hajarudi Usukumani kuvua samaki au kuuza dagaa!
 
Siku akija kufa pimbi mmoja kwa ajili ya huo mchezo wa kijinga ndo serikali itakuja kuwapga marufuku baadala wafichue ufsadi wamekali tu umbea.
 
Hawa jamaa huangalia na kuchagua watu wa kuwapiga picha. Watu maarufu, wenye nazo, wanasiasa n.k.

Sehemu kibao tu watu wanalala na wasiokuwa wanandoa wao, lakini hawaandikwi wala hawapigwi picha.
 
Faragha haifanywi sehemu inayoweza kufikiwa na shigongo. Mbona mi sijawahi anikwa. Cku hizi kuna michezo mingi ya kupata pesa. Hamuamini kuwa kuna wake kwa waume siku hizi wanalipwa mihela ili kutengeneza mikanda ya xxx? Unadhani watu hao hao watashindwa kupokea pesa ili kujifanya wamefumaniwa? Hili ni soko huria kwa hiyo kwa kiasi kikubwa shihongo anafanya maigizo na kuna watu wengi kawakamata hawakosi magazeti yake.
CHANGANYA NA ZAKO!!!!
 
Habari wanaJF

Kuna hii kampuni inaitwa Global Publishers ikiwa chini ya Bw. Erick Shingongo, kiukweli sidhani kama alisajili kampuni hii kwa ajili ya kuingilia faragha za watu lakini ndiyo kazi ambayo Global Publishers wanayoifanya kwa sasa.

Hapo awali Global Publishers walikuwa wakijikita zaidi katika uandishi wa majarida na vitabu lakini naona hiyo kazi wameona haiwalipi na hivi sasa wanazunguka kwenye nyumba za kulala wageni walipoweka kambi zao ili kudakua faragha za watu wanaofika katika nyumba hizo za kulala wageni wakiwa katika starehe zao.

Sitetei uzinifu lakini faragha ya mtu iheshimiwe, na siyo kazi ya Global Publishers kuwapiga chabo na kupiga picha bila idhini ya wahusika, huu ni udhalilishaji unaofanywa ma Global Publishers.

Wizara ya habari na utamaduni wakishirikiana na Brela waimulike tena hii kampuni huenda imesahau majukumu yake au imeshindwa kujiendesha kihalali.

Kuingiza hela kupitia udhalilishwaji wa watu fulani haikubaliki.

Naungana nawe asilimia mia moja 100% it is so strange eti mambo haya yanaachiwa tuna Serekali haisemi kitu. No this is unacceptable! Unacceptable!. Hata Katibaya nchi ya sasa ( 1977) inatambua faragha ya mtu. Sasa hivi ni vitu vya aibusana vinaonyeshwa magazetini bila kujali fadhaa inayowapata wahusika na familiaza wahusika. Kwa maadili yetu ya kitanzania kweli watoto wanaona baba zao, mamazao, kaka zao, dada zao wadogo zaoviongozi wao wakiwa watupu kweli? Ndio Tanzania tumefika huko kweli? Na hamnamtu anaekemea kweli na baadhi ya watu wanashabikia? Ndio maana Yesu alisema na mtummoja arushe jiwe kwa huyu mzinzi.
Utafutaji pesa kwa njia hii ni haramu na haikubaliki. Onlyin Tanzania kitu kama hiki kinafanyika , serekali inakaa kimya, watuwanashabikia. It is so strange! Wanang’nga’ania sheria ya mitandao wakati hayayanayoonekana wazi wanayafumbia macho. Jamani Prof. wa mawasiliano nafahamu unapoitia humu , waziri wa mambo yandani no this is unacceptable!!!
 
Back
Top Bottom