Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

namalizia process nipate cha moto a.k.a mguu wa kuku wakinikuta faragha tu masikio yao halali yangu

yaani inakua ny.ege ni zangu umbea ni wao roho zao ni halali yangu
 
Mwambieni shigogo aje na huku Arusha aje afanye huo uhuni wake aone kitakacho mpata! maana naona dar vijana wamezubaa sana!

mbona huko arusha kila siku anafukunyua wake na waume za watu kwenye magest house au hujawahi ona hata vichwa vya habari vy amagazeti yake/
 
Hivi yule Imelda Mtema ni mwandishi wa habari au shostito wa wasanii maarufu? maana kwenye shughuli zao anapika na kupakua. uandishi gani huu? kwenye sherehe ya auntyezekiel na sare za mashoga kashona. kesho kwenye gazeti la shigongo anaweka na habari. simuelewi @
 
Mambo yako ukienda kufanyia kwenye sehemu za gharama kidogo haya mambo hayapo. Ila kama ukifanyia kwenye kichochoro lazima yakukute.

Hivi kwenye gari tena usiku sio sehemu ya faragha kumbe eeh?
Huwa nashangaa watu kwenye magari ya watu tena mengine yana tinted for privacy, huwa mnafanya piping ya nini?
Huko ni kuingilia faragha za watu!
 
nasikia shi(fimbo) siku hizi ana papazari wake wao kazi yake ni kuzunguka kwenye ma guest ya watu, kwenye parking za magari watu wanakupiga picha paparazi halafu wanakwambia eti utoe hela la sivyo kesho yake utajiona kwenye gazeti..
usipotoa pesa kesho yake utajikuta uko kwenye ukurasa wa mbele wa magazeti pendwa ya BUNDUKI, JUMAPILI, mbaya zaidi wanawafotoa wapenzi

mbona unaandika kwa kufichaficha maneno, unamwogopa nani?
 
Wanafanya sahihi kufichua michepuko isiyo rasmi au michepuko ving'ang'anizi kama Nkurunziza .
Ila kingine wanachokosea hawatendi haki kama ni mtu mkubwa mwenye wadhifa watamficha sura na jina lakini kapuku tu watakuFotoa hadi makalio.
 
Hii kampuni kweli ilipofikia nipabaya sana. Habari za uwongo magazeti yake hata hayana mvuto tena kama zamani.
 
Faragha na wake za watu.. ??? Au waume za watu??. Hivi kama wewe ukiona wamekukamatia mgoni wako utaawachukia kweli?

Kwahiyo hii kampuni imesajiliwa BRELA kwa ajili ya kufumania ama kuandika habari?....Kama ndo ilivyosajiliwa kufanya fumanizi basi Tanzania nchi ya maajabu sana.
 
Kuna jamaa ana hasira nao sana na ameanza kuwafuatilia kama nao ni watakatifu kiasi hicho....wasishangae faragha zao nazo zikawa kwenye magazeti.....
magazeti yapi mkuu, mana sehemu kubwa ya magazeti ya udaku wameshika wao
 
GPL wamekuwa wambeya kupitiliza... eti mpaka wameunda kikosi cha OFM maalumu kwa kufuatilia faragha za watu..... ngoja siku moja wakumbane na mke wa shigong''' huko guest house sijui watafanyaje
 
Naye angekuwa msafi isingekuwa shida Lakini Naye ni full majanga halafu sio binadamu yule jamaa. Alichomfanyia mdogo wake Ed kwasababu tu ya kumfanyia utani mkewe Mungu pekee ndio ajuaye na siku hilo likija kuwekwa wazi sijui shigongo atauambia nini ulimwengu
 
GPL sio wastaarabu.

kipo kpindi 'CHEATERS' ktk tv ambacho ufumania faragha za watu, hawa wanaficha nyuso za wahusika.
 
Back
Top Bottom