Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

Wezi wa wake za watu utawajua tu

It is not about wezi wa wake? hivi unaniambia kumpiga mtu mtupu ni sahihi? Hebu nieleze ni wapi sharia ya Tanzania inasema mtu akizini apigwe picha mtupu? wapi hapo? hebu niambie ni kabila gani linasema mtu akizini apigwe picha mtupu? Actually mambo hayo watu wa zamani walichukulia kwa busara sana kulingani sha na sasa hivi.
Nigepnda kama magazet haya yangeanzisha progammu ya hakikisha inaondoa masuala ya kukosa uminifu lakini nia hii it isvey unforntel nadani ndi kwanza wanaomba matukio zaidi ili tu kupata hela zaidi. Hela namna hii haramu!
 
Naye angekuwa msafi isingekuwa shida Lakini Naye ni full majanga halafu sio binadamu yule jamaa. Alichomfanyia mdogo wake Ed kwasababu tu ya kumfanyia utani mkewe Mungu pekee ndio ajuaye na siku hilo likija kuwekwa wazi sijui shigongo atauambia nini ulimwengu

Hebu weka wazi!
 
Sheria mpya itawahusu na ndo maana walipinga rais kusaini muswada huo
 
Mtoa mada usipanic bwana, mbona kawaida tu na tena ila ya Padri wa juzi unayemtetea ni Photoshop kumbe. Umefurahi?
 
Mtoa mada usipanic bwana, mbona kawaida tu na tena ila ya Padri wa juzi unayemtetea ni Photoshop kumbe. Umefurahi?


Umekurupuka mkuu, wewe unaijua imani yangu?

Una uhakika na unachokizungumza?
 
Umekurupuka mkuu, wewe unaijua imani yangu?

Una uhakika na unachokizungumza?

Kwani iman yako inahusika vipi kwenye kumtetea huyu Padri? Inawezekana mkawa mnafanya biashara pamoja, au labda rafiki yako, au vyovyote vile mnaweza mkawa na ukaribu. Hapa iman haihusiki kabisa.
 
Kwani iman yako inahusika vipi kwenye kumtetea huyu Padri? Inawezekana mkawa mnafanya biashara pamoja, au labda rafiki yako, au vyovyote vile mnaweza mkawa na ukaribu. Hapa iman haihusiki kabisa.

una hakika na ulichokizungumza kabla?
 
ningefurahi pia kama wangekuwa wanaonyesha faragha za askari wa pikipiki na wanaosimama na bunduki barabsrani wanavyowanyanyasa raia na bidhaa wanazitoka kununua madukani,utadhani wame import ni shida sana.
 
Habari wanaJF

Kuna hii kampuni inaitwa Global Publishers ikiwa chini ya Bw. Erick Shingongo, kiukweli sidhani kama alisajili kampuni hii kwa ajili ya kuingilia faragha za watu lakini ndiyo kazi ambayo Global Publishers wanayoifanya kwa sasa.

Hapo awali Global Publishers walikuwa wakijikita zaidi katika uandishi wa majarida na vitabu lakini naona hiyo kazi wameona haiwalipi na hivi sasa wanazunguka kwenye nyumba za kulala wageni walipoweka kambi zao ili kudakua faragha za watu wanaofika katika nyumba hizo za kulala wageni wakiwa katika starehe zao.

Sitetei uzinifu lakini faragha ya mtu iheshimiwe, na siyo kazi ya Global Publishers kuwapiga chabo na kupiga picha bila idhini ya wahusika, huu ni udhalilishaji unaofanywa ma Global Publishers.

Wizara ya habari na utamaduni wakishirikiana na Brela waimulike tena hii kampuni huenda imesahau majukumu yake au imeshindwa kujiendesha kihalali.

Kuingiza hela kupitia udhalilishwaji wa watu fulani haikubaliki.

hawa jamaa wa globol asilimia kubwa hawana shule kabisa ndio maana wanafanya kazi bila weredi!
 
KIla jambo lina majira yake...ila kuna nyakti pia mtu uingia kwenye kumi nane za watu...kwa hili la Mtumishi mmoja wa nyumba moja kubwa ya IBADA ahaa SIO SAWA WAJIANDAE!!!!Soon and very soon BIASHARA IMEKWISHA kwa kuwa kwa mwenendo huo UTHABITI wa IMANI ya WAUMINI wa dhehebu la muhusika UNAKWAZWA na UKUSTAHIKIWA na akaangaliwa Mtenda kitendo bila kuangalia WAUMINI walio nyuma ya Mtenda Kitendo.

I hope its the END of the ROAD.....KUWA WATU WALIPATA NAFASI NYAKATI FULANI KUSOMA MAGAZETI YA UDAKU YALIKUWA YANAMILIKIWA NA GLOBAL.Kifo cha gazeti la SANI leo hii Kipepe na Pimbi ni hadithi labda ubunifu mpya uludi ndio hivyo hivyo Udaku na magazeti kwa tiketi ya Global Media umefika tamati. Usiniulize ni vipi wewe tega macho ya yako kesho na kesho kutwa na si leo hata mwaka na ushee lakini YATATIMIA.
 
Habari wanaJF

Kuna hii kampuni inaitwa Global Publishers ikiwa chini ya Bw. Erick Shingongo, kiukweli sidhani kama alisajili kampuni hii kwa ajili ya kuingilia faragha za watu lakini ndiyo kazi ambayo Global Publishers wanayoifanya kwa sasa.

Hapo awali Global Publishers walikuwa wakijikita zaidi katika uandishi wa majarida na vitabu lakini naona hiyo kazi wameona haiwalipi na hivi sasa wanazunguka kwenye nyumba za kulala wageni walipoweka kambi zao ili kudakua faragha za watu wanaofika katika nyumba hizo za kulala wageni wakiwa katika starehe zao.

Sitetei uzinifu lakini faragha ya mtu iheshimiwe, na siyo kazi ya Global Publishers kuwapiga chabo na kupiga picha bila idhini ya wahusika, huu ni udhalilishaji unaofanywa ma Global Publishers.

Wizara ya habari na utamaduni wakishirikiana na Brela waimulike tena hii kampuni huenda imesahau majukumu yake au imeshindwa kujiendesha kihalali.

Kuingiza hela kupitia udhalilishwaji wa watu fulani haikubaliki.

Umenena vema kaka.Hawa GP ni wahuni.Siku wakiingia anga zangu nawafilisi.
 
Kisa cha yule padri wa baraza la maaskofu lilinikera sana. Pamoja ya kwamba huyo padri amekosea ila sijapenda tabia yao kabisa.
 
Kisa cha yule padri wa baraza la maaskofu lilinikera sana. Pamoja ya kwamba huyo padri amekosea ila sijapenda tabia yao kabisa.


Na visa vingine vingi tu...
 
KIla jambo lina majira yake...ila kuna nyakti pia mtu uingia kwenye kumi nane za watu...kwa hili la Mtumishi mmoja wa nyumba moja kubwa ya IBADA ahaa SIO SAWA WAJIANDAE!!!!Soon and very soon BIASHARA IMEKWISHA kwa kuwa kwa mwenendo huo UTHABITI wa IMANI ya WAUMINI wa dhehebu la muhusika UNAKWAZWA na UKUSTAHIKIWA na akaangaliwa Mtenda kitendo bila kuangalia WAUMINI walio nyuma ya Mtenda Kitendo.

I hope its the END of the ROAD.....KUWA WATU WALIPATA NAFASI NYAKATI FULANI KUSOMA MAGAZETI YA UDAKU YALIKUWA YANAMILIKIWA NA GLOBAL.Kifo cha gazeti la SANI leo hii Kipepe na Pimbi ni hadithi labda ubunifu mpya uludi ndio hivyo hivyo Udaku na magazeti kwa tiketi ya Global Media umefika tamati. Usiniulize ni vipi wewe tega macho ya yako kesho na kesho kutwa na si leo hata mwaka na ushee lakini YATATIMIA.


Kuna sehemu nimepita na ni katika hizi social media, yamesisitizwa hayahaya. Ninajua GPL nao wana nguvu katika jamii. Nawaza tu lakini...
 
Wakikosa cha Kutoa gazetini watavizia vyumbani mwa wanandoa ili wauze gazeti.
 
Shigongo emewapotezea watu wengi heshima ktk Jamii.Binti kama Nsia Swai,ameathirika Sana na Magazeti ya shigongo.ila ipo siku yatamkuta tu.Wem sepetu na wengineo ni yeye alieharibu public image zao.alafu eti Mzee wa kabisa.huyu ipo siku tu Mungu atamuumbua
 
Back
Top Bottom