Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

Shigongo, kama biashara imekushinda, funga kampuni

siku hizi nikienda kwa mchepuko wangu nabeba na Bastola yangu nawasubiri kwa hamu wanifotoe picha waone kitachotokea pambavu zao kwani kugongana ni kitu cha ajabu?!
Nani hajawahi kugongana kwenye kampuni yao ile au kwa kuwa wao wameshika mpini ndio wanajiona baba wenye nyumba?!
Tena nishaanza kumpiga ndogo ndogo mke wa Shigongo natengeneza fumanizi la makusudi aje kufumania nione ataweka kwenye magazeti yake yasio na rangi au kuchapiwa itakuwa siri ya ndani
 
Wakikosa cha kuandika kwny magazeti yao sometimes huwa wanayengeneza mafumanizi feki, wanatafuta watu wanawalipa km vile wamefumaniwa, biashara inaendelea!
 
Wakikosa cha kuandika kwny magazeti yao sometimes huwa wanayengeneza mafumanizi feki, wanatafuta watu wanawalipa km vile wamefumaniwa, biashara inaendelea!

Ni hatari sana kwa ustawi wa maadili..
 
Hivi ni kwa sheria gani? huwa naona polisi nao wanashiriki...., hii nchi imekosa mwenyewe au ni nini? Inatakiwa mtu mmoja awashitaki na wapigwe faini kubwa kwa kuingilia mambo binafsi ya watu. Ni upuuzi mtupu huu
 
Kuna watu wamejiua na wengine kupeana talaka baada ya kudhslilishwa na hayo magazeti yake....hii ni mbaya sana kwa ustawi wa jamii:sly:

hana usafi wowote ndo maana kajificha kwenye mgongo wa siasa ili maovu yake yasionekane
 
Activities for children camberle

Activities are a best way to show your child that learning is a fun. Indoor and Outdoor activities that will help to develop your child's imagination, creativity, thinking skill, simagination & social skills. Toddler Takeover gives you the opportunity to GET INVOLVED and have fun with your little one instead of just watching from the sidelines, however if you do just want to relax and watch your Toddler having a great time from the sidelines that is an option as well!
For more information please visit our site:- Gravity Force, Sports & Fun Activities
 
Ha ha ha ha!! Shigongoooooo..mzee wa story za kuzimu,magazeti yake yote ni...ohh "Niliishi kuzimu miaka 7..ooh mara nimeishi makaburini nikatokezea kuzimu...KA!!!!Huyu jamaa ananifurahishaga sana na zile porojo zake zakuwahadaa watanzania eti namna yakuwa mjasiriamali na jinsi Mungu amembariki..gade.m...et
 
Hapa dawa kila mwanaume apige marufuku mke au demu wake kusoma magazeti ya udaku ya huyo mpuuzi shigongo! Ukimkuta nalo adhabu yake kama ni mke adhabu ya dharura vibao, adhabu ya pili ni kuchepuka kwenye game unamwacha katikati...km ni mchumba au mchepuko unampiga chini maana wanawake ndiyo wasoma umbea huo.


hili litakuwa suluhisho..
 
Ha ha ha ha!! Shigongoooooo..mzee wa story za kuzimu,magazeti yake yote ni...ohh "Niliishi kuzimu miaka 7..ooh mara nimeishi makaburini nikatokezea kuzimu...KA!!!!Huyu jamaa ananifurahishaga sana na zile porojo zake zakuwahadaa watanzania eti namna yakuwa mjasiriamali na jinsi Mungu amembariki..gade.m...et

Usanii unalipa sana mjini..
 
Global Publisher wasifanye uandishi dhaifu je baba yake Erick akikaa uchi wanaweza kumpiga picha? Tumeona habari nyingi za uingiliaji wa faragha za watu na wananganganizwa kupigwa picha huu ni unyama. Pesa mnazokula ni haramu kwa kuingilia faragha za watu. Kuna jambo gani geni kwenye ngono? Fuatilieni mambo yenye tija anayomomyoa uchumi na sio vi cheap stories kwenye faragha za watu hakika tutalifilisi gazeti siku moja

Ukweli mtupu mkuu.
 
Kuna jamaa ana hasira nao sana na ameanza kuwafuatilia kama nao ni watakatifu kiasi hicho....wasishangae faragha zao nazo zikawa kwenye magazeti.....

itakuwa vizuri na wao waonje shuruba kidogo..
 
Dah Huyu Jamaa Kazidi Hakuna Cha Maana Wanachoandika Zaidi Ya Umbea
 
Back
Top Bottom