shigongo books???

mkuu nimeiona bana ila ss mi nlikua nataka page ambayo ntapata kitabu kizima sio hii ya kusubiria mpka wiki ijayo inakatisha utamu..!

Kama utakua mjanja kidogo utaweza mfano hadithi imeisha fanya kitu cha namna hii.

Tuseme inatoka kila baada ya siku 7 halafu hadithi inaitwa jambazi kuu na ya kwanza imetoka tarehe moja fanya hivi

Search dizain hii
- global publisher 1 september 2012 jambai kuu
-global publisher 8 september 2012 jambaz kuu
-global publisher 15 september 2012 jambaz kuu

Hivo hivo kila kipande unacopy then unapaste kwenye word hadi utakua na hadithi yote an then utasaidia na wenzako
 
Kama utakua mjanja kidogo utaweza mfano hadithi imeisha fanya kitu cha namna hii.

Tuseme inatoka kila baada ya siku 7 halafu hadithi inaitwa jambazi kuu na ya kwanza imetoka tarehe moja fanya hivi

Search dizain hii
- global publisher 1 september 2012 jambai kuu
-global publisher 8 september 2012 jambaz kuu
-global publisher 15 september 2012 jambaz kuu

Hivo hivo kila kipande unacopy then unapaste kwenye word hadi utakua na hadithi yote an then utasaidia na wenzako
we mkali akyamungu tena
 
Si mchezo, kwani shigongo mwenyewe anaona taabu nini kuviweka hivyo vitabu katika ebooks format?
 
Ingekua wewe ungeeka? Ili watu wasije tena kwenye blog yako kusoma? Wapeane kwa flash tu?
Kazi kweli kweli, mbona ebooks milioni zipo tu free online? hao wengine wanaishije tunaowachukulia kadri tutakavyo? au za kiswahili ni ghali sana?
 
Kazi kweli kweli, mbona ebooks milioni zipo tu free online? hao wengine wanaishije tunaowachukulia kadri tutakavyo? au za kiswahili ni ghali sana?

So we ukiona ebook online unadhani ni owner wenyewe wamevi upload viibiwe? Lazma kuwe na mtu ambaye anacolect kwa ajili ya piracy.

Sisi wa tz ni wavivu hata kwenye piracy pia wavivu hizi blogs zetu wote tumekazania vitu vile vile vya kuchakachua idm mara siasa mara mziki baasi.

Kama mtu anaamua kupiga kazi na kukusanya hadithi za shigongo zote na kuzieka pamoja afungue blog am sure 99% hakosi visitor elf 1 kwa siku.
 
So we ukiona ebook online unadhani ni owner wenyewe wamevi upload viibiwe? Lazma kuwe na mtu ambaye anacolect kwa ajili ya piracy.

Sisi wa tz ni wavivu hata kwenye piracy pia wavivu hizi blogs zetu wote tumekazania vitu vile vile vya kuchakachua idm mara siasa mara mziki baasi.

Kama mtu anaamua kupiga kazi na kukusanya hadithi za shigongo zote na kuzieka pamoja afungue blog am sure 99% hakosi visitor elf 1 kwa siku.

bila ridhaa yake si itakuwa msala kaka
 
Back
Top Bottom