Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Kumuunga mkono Lissu yakupaswa usiwe na uwezo wakufikiria kichwani
Kuiunga mkono CCM na vigogo wake wote tokea juu hadi chini yakupasa uwe tabula rassa kichwani
Kumuunga mkono Lissu yakupaswa usiwe na uwezo wakufikiria kichwani
Hiyo ni Lugha ya mjombawako !!Kuiunga mkono CCM na vigogo wake wote tokea juu hadi chini yakupasa uwe tabula rassa kichwani
Watanzania wote mnatakiwa muwe makasuku na kucheza ngoma msiyoijuwa, huu ni uandishi au Rubbish kabisa?Sikukuu ya wajinga hapa kwetu ni mwaka mzima
Pesa zake alilipwa?Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.
Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.
"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo
View attachment 525174
Kuiunga mkono CCM na vigogo wake wote tokea juu hadi chini yakupasa uwe tabula rassa kichwani
Hiyo ni Lugha ya mjombawako !!
Lakini inafahamika
Wafuasi wa Cdm ni Watu wasio na uwezo wa kutafakari mambo
Wala hawajui no
Wewe unatetea watawala waliouza madini yetu wanatuachia mashimo buzwagi, northmara, geita nkYupo sawa
Lisu kaishiwa, kiki zinamharibu huyu mtu
Kashindwa kuwatetea Wananchi wake
Anawatetea Wazungu
Huyu niwakupimwa sio bure
Humjui Lisu pimbi wewe, Lisu ni Mnyaturu. Huna elimu, huna exposure hata nchi yako huijui alimradi upoupo tu sawa na maiti, Jews state ina raia wachache sana lakini hakuna galasa kama wewe hata mmoja ndio maana they make things happen.Lisu ni ubishi tu wa kinyaramba unamsumbia ! Hivi ana kesi yoyote ya rejea ?
HIVI TAKATAKA KAMA TUNDU ANAWEZA KUPINGA REPORT ILIYOANDIKWA NA PROF. MRUMA NA PROF. OSORO????Mjinga anakiri ujinga halafu anamshangaa msomi!!!!!
HIVI TAKATAKA KAMA TUNDU ANAWEZA KUPINGA REPORT ILIYOANDIKWA NA PROF. MRUMA NA PROF. OSORO????Kumlinganisha shigongo na lisu ni sawa na kumlinganisha kichuya na messi
Porofesa uchwara hata kusoma report aliyoiandika mwenyewe anashindwa!!?HIVI TAKATAKA KAMA TUNDU ANAWEZA KUPINGA REPORT ILIYOANDIKWA NA PROF. MRUMA NA PROF. OSORO????
PROFESSOR IS AN INTERNATIONAL TITLE HOW ABOUT FOOLISH ONE WHO KNOWN ONLY AT IKUNGI DISTRICT? TAKE CAREPorofesa uchwara hata kusoma report aliyoiandika mwenyewe anashindwa!!?
Anasoma report huku mara anatafsiri, ma emotions kibao. profesa RUBISH.
Lisu ana utembo gani,antetea majizi.Shigongo ni kama sisimizi kulinganisha na Tembo ambae ndo Lissu
kwenye uelewa wa mambo
Shigongo anajielewa huwa hatoi matamko hovyo hovyo Kama lisuShigongo ndo wale 'hajui na hajui kuwa hajui'