CCM kama hamna nia ya leo kukubali mabadiliko ni bora mkajiuzulu ili wanaoweza kutekeleza azma ya kuipatia nchi hii KATIBA MPYA inayokubalika kwa Nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar ni watimize kuileta tunu hii. Shida ipo wapi? Mpaka mmeng'ang'ania na katiba ya Chama kimoja?
Hii Katiba iliyopo inawabana wengi na pia haifuatwi na CCM (Chama kilichopo madarakani), sasa ubaya mtaupata au kuuona pale siku itapotokea mkashindwa uchaguzi iwe kwa hiari au kwa nguvu za umma. Hapo maji mtaita mee.
Hii Katiba iliyopo inawabana wengi na pia haifuatwi na CCM (Chama kilichopo madarakani), sasa ubaya mtaupata au kuuona pale siku itapotokea mkashindwa uchaguzi iwe kwa hiari au kwa nguvu za umma. Hapo maji mtaita mee.