Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Watu wenye upeo mdogo wa kufikiri wanaweza kuzodoa ujumbe huu... Ila una umuhimu sana kwa wanaojua maslahi ya taifa ni nini.... Kama ni shibuda aliyesema haya ama la......lakini mwisho wa siku uzito na umuhimu wake ni zaidi ya saccos yao.......... Wenye akili wanalifahamu hili vizuri sana, muwasaidie vipofu wa ubongo kuliona hili......


 
Sisi wananchi tuna akili timamu na tunajua kuchagua lipi la kweli na lipi la uongo aliyeandika hajui na hapimi wakati uliopo si ule wa enzi hizo walishashindwa kuiua CHADEM siku za nyuma kwa sasa hawawezi kabisa wangetafuta ustaarabu mwingine
 
Ccm wanahaha kuona CDM imefaulu mtihani mgumu uliyowashinda wao, kila kukicha EL et al wanakivuruga chama kwa makundi na hakuna mwenye jeuri ya kuwafanya lolote maana pesa zao zinawafanya wao kuwa bora kuliko chama chao.
 
Sijaelewa anataka Chadema kife au anataka nini?

Hata CCM makini wangependa upinzani uwe na nguvu ili wakikosolewa wanajua jinsi ya kujipanga. Sasa huyu haelewek ni chama gani! Undumilakuwili mbaya kabisa huu?

Umenena vzur sana! Na hili ni tatizo la kutokujitambua!
 
Kutukana ni dalili ya kuishiwa hoja jenga hoja acha vioja mimi sina muda wa kushindana na mwehu kama wewe.

Limekugusa pole sana. Akili ya hedhi hiyo. Kwani kuna tusi hapo ww kilaza? Ni sawa na maji taka tu. Ila kama imekuchoma pole jichomoe taratibu au ivumilie. Chagadema will die.
 
Sijaelewa anataka Chadema kife au anataka nini?

Hata CCM makini wangependa upinzani uwe na nguvu ili wakikosolewa wanajua jinsi ya kujipanga. Sasa huyu haelewek ni chama gani! Undumilakuwili mbaya kabisa huu?

anataka ukweli ujulikane
 

Hujui unachokisema maana mawazo yako yanakomea katika mipasho na si ajabu hata kucheza mdundiko! Ungejua anayeongea ni nani ungejua maana ya wachina kutengeneza substandard kwa ajiri yako na waa si mwingine regardless kwenda wewe mwenyewe! Nisingependa kueleza zaidi kwani possibly wewe ni hao mnao tumiwa kama middle woman/man ktk kufanya haya mambo ya kuficha UCHAFU WA HAWA WATU!
 
Chadema ni Saccos ya Mtei inayosimamiwa na mkwe wake Mbowe pamoja na mjomba wake Lema

Ccm ni Sacco's ya familia ya kikwete,wao wanapiga mihela wewe unakuja humu kutetea wakati unashandia mlo mmoja.
shangazi, wajomba wazazi wako hoi kwa maisha duni,wewe umekalia porojo mtandaoni.lost generation
 
moderator naomba chanzo cha habari please, Kama ni gazeti au runinga na aliyasema wapi haya shibuda..watu wasiwe wanajitungia tu vijimaneno na kulisha watu humu.
jf tuna taratibu zetu za kuripoti,haturipoti Kama walevi waliolewa matap tap kachoma .
mods piga ban huyu Kama hii habaribni ya kujitungia kwa heshima ya jf please .
 

Acha kiherehere kunywa dawa upone kwa nini unalialia. mtoa mada big up kwa dawa yako zuri!
 
tuwe serious watanzania tuko millioni 46 chama kina zaidi ya miaka 20 viongozi ni ukoo mmoja tu. watanzania tuone mbali.
 
Mfukuzeni badala ya kumtukana. Yeye hajawatukana kawapa za uso.

Wewe FaizaFoxy za uso wapi? Chama kama kakiona haramu sii ajitoe yeye mwenyewe? Hivi FF kama mumeo ana maumbile makubwa na anakuumiza utasubiri akuache au wewe ndio utamuacha?
 
Last edited by a moderator:
Kama sasa hivi wakiomba kura kinaongozwa kwa ukoo kwa miaka 20 je wakikamata nchi mtawaambia nini tena?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…