Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.

Wachina hawakuletei chochote, unakweda kununuwa mwenyewe na unasafirisha kwa gharama zako na unakuja kuwauzia Watanznia wenzako ulichokinunuwa.

Vitu vya Kichina vipo dunia nzima na vina ubora wa hali ya juu. Kama wewe ulienda kufyatulisha vya "substandard" ni tatizo lako si la Wachina.

Tutegemee nini zaidi ikiwa wewe mwenyewe uko "substandard"?
 
Huyu naye anatafuta nitoke vipi. Shibuda kwa Chadema ni kama nyuki wa mashineni au nyoka wa kisimani

Ndio shida yenu misukule ya Mbowe, hamsikii la muadhini wala la mnadi swala, nyie na Mbowe tu basi.!
 
Tz upinzani wa kweli bado haujazaliwa.
Vyama vya kuipinga ccm vyote ni vibaraka wa ccm.
 
Huyu SHIBUDA ni MWEHU fulani hivi na hayupo atakayepoteza muda wake kwa kushughulika na huyu mwehu.Anatakiwa atueleze kwanza kuwa huko CCM alifukuzwa au alijifukuzisha yeye mwenyewe???.Akilipata hilo jibu hataweza kuendelea kubwabwaja ujinga wake huo.
 
Huyu mzee Shibuda huwa namuona km ana upungufu wa akili, hata hao watu wa Maswa waliomchagua kuwa mbunge sijui walimpendea nini, nafikiri labda hawakuwa na chaguo mbadala!

Ni mpumbavu pekee atakaeingia kwny chama fulani bila kusoma katiba ya chama husika....

Ni mwendawazimu pekee atakaesoma katiba ya chama fulani na kuiona haifai halafu akaendelea kubakia ndani ya chama hicho tena kwa miaka mingi!

CHADEMA walikosea sana kumkaribisha huyu mzee Shibuda ndani ya chama, tangu mapema alionekana CCM wamempandikiza aje kukivuruga chama???
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Kama aliona cdm haimfai kwa kuwa na katiba mbovu, Je amengoja nini miaka yote hii badala y.a kujiondoa mwenyewe ati anangoja afukuzwe. Huku ni kufikiri kwa kutumia masaburi
 
Aliombwa abakie, wachagga wanatazama zaidi ruzuku wanayoingiza kutokana na ubunge wake.

Ndio wewe ulijifanya unawaonea ndugu na wahanga wa ajali ya majinja. Ndugu wewe ni manazi kwelikweli na ndio mnao sababisha ccm iwe na kiburi
 
Ningeshanga sana chadema kujibizana na kichaa.
 
kama cdm haifai si angekuwa ameshaondoka? anasubiri nini ? wapuuzi na mapandikizi utayajua tu. atiho nsukuma mbuli giti ungosha ngwenuyo onyana
 


Si aondoke nani amemlazimisha kukaa. Mbona ya CCM inalinda mafisadi sisi hatulalamikaji. Kulinda familia na kulinda mafisadi, majangili, wauza magendo ni ipi bora. Yeye alifikiri CDM kuna dili za kupiga hela za walipakodi ali yokuta hamna akachanganikiwa. Ndio maana wenzake wanamshangaa
 

Maswa hakuwa na mpinzani wa kueleweka,aliekuwepo wa ccm simon alikuwa na kashfa nyingi kuliko huyu ndio maana kwa tiketi ya chadema akaukwaa ubunge kwa urahisi ila kwa mwaka huu kazi anayo.
Kule kina nduhu taabu washamchoka mno.
 
Maswa hakuwa na mpinzani wa kueleweka,aliekuwepo wa ccm simon alikuwa na kashfa nyingi kuliko huyu ndio maana kwa tiketi ya chadema akaukwaa ubunge kwa urahisi ila kwa mwaka huu kazi anayo.
Kule kina nduhu taabu washamchoka mno.

CHADEMA wanampiga chini CCM nao hawatamhitaji tena...huo ndio mwisho wa Shibuda ktk siasa
 

Haya watu wanayajua sema vijana majuha ndio wanajifanya hawasikii. Ila kuna siku wataelewa tu. Hiki chama ni cha familia sio watanzania. Tena mtei sio raia wa tanzania na hana nia njema na nchi hii.
 
Kumbe naye anasubiri kufukuzwa kama Zitto kwa nini asiondoke mwenyewe akarudi kwa majizi wenzake ccm kuliko kusubiri kufukuzwa?
 
Haya watu wanayajua sema vijana majuha ndio wanajifanya hawasikii. Ila kuna siku wataelewa tu. Hiki chama ni cha familia sio watanzania. Tena mtei sio raia wa tanzania na hana nia njema na nchi hii.
Mawazo ya kijinga sana hizi ni siasa za maji taka.
 
Mbowe na Slaa wakisikia jina la Shibuda lazima mkia waulaze tumboni
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…