Shibuda: Rais Magufuli hakufurahishwa na yaliyotendeka kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Uchaguzi Mkuu uwe wa Haki na Usawa

Hata huu ukishapita, tutasikia maneno kama haya kutoka kwa bwana shibuda.....
 
Nae ahibuda anatafuta teuzi.......tangu lini akawa msemaji wa rais. Rais ndie aliyewatuma kina jafo na genge lake la kihuni kuharibu uchaguzi na sio mara ya kwanza matukio mengi ya wazi ya kuharibu uchaguzi yamefanyika
 
Yaani hawa wasukuma wanadhani kila mtu hana akili. Alipokuwa Tabora njiani kwenda Chato hotuba aliyoitoa pale Nzega tunayo. Au Shibuda anadhani hatuna kumbukumbu?
 
Msicheze na akili za watu nyie, kwani alikuwa wapi, mbona hakuizuia hiyo sintofaham?

Naona mnataka kutuseti tu ili tupumbazike kuwa haki itachikua nafasi.

#77Neupe, #88Nyeupe, #99Nyeupe. Hadi tume huru ipatikane.
 
JOHN Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, amesema Rais John Pombe Magufuli, aliumizwa na sintofahamu iliyojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa tarehe 24 Novemba 2019.

Shibuda amesema hayo leo Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 wakati akizungumza katika warsha ya wadau wa uchaguzi katika kujadili namna ya kudhibiti rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 iliyoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.

Katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa, vyama zaidi ya vitani vya upinzani Chadema, CUF, ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi, UPDP, Chaumma na CCK havikushiriki kwa kile kilichoelezwa kutokutendewa haki kwa wagombea wao hasa nyakati za kuchukua au kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea.

Kujitoa huko, kulikifanya chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushika kwa zaidi ya asilimia 98 uchaguzi huo.

Akizungumzia sakata hilo, Shibuda amesema Rais Magufuli alimshirikisha masikitiko yake juu ya dosari zilizojitoleza kwenye uchaguzi huo na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo alishindwa kutengua matokeo hayo.

“Niwaeleze, Rais Magufuli aliumia sana na hizo kasoro zilizokuwa nje ya utendaji wake. Na Jaffo alikuwa hana kanuni za kutengua yale yaliyokuwa na hila,” amesema Shibuda

“Nasema hilo sababu mimi alinishirikisha na aliniambia hapa natoka vipi?. Nawaambia Rais hakufurahia na kasoro zilizojitokeza,” amesema Shibuda.

Kufuatia dosari hizo, Shibuda ametoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru ili dosari hizo zisijitokeze.

“Ndio maana nasema uchaguzi huu uwe wa haki usawa ili wengine waone Tanzania ni nchi kimbilio na darasa la siasa za demokrasia,” amesema Shibuda ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha ADA-Tadea
Huo upuuzi ameongea akiwa kabana pumzi ya tumbo ili ajistiri mbele ya watu asichafue hewa,shibuda ni mnafiki siku zote
 
JOHN Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, amesema Rais John Pombe Magufuli, aliumizwa na sintofahamu iliyojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa tarehe 24 Novemba 2019.

Shibuda amesema hayo leo Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 wakati akizungumza katika warsha ya wadau wa uchaguzi katika kujadili namna ya kudhibiti rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 iliyoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.

Katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa, vyama zaidi ya vitani vya upinzani Chadema, CUF, ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi, UPDP, Chaumma na CCK havikushiriki kwa kile kilichoelezwa kutokutendewa haki kwa wagombea wao hasa nyakati za kuchukua au kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea.

Kujitoa huko, kulikifanya chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushika kwa zaidi ya asilimia 98 uchaguzi huo.

Akizungumzia sakata hilo, Shibuda amesema Rais Magufuli alimshirikisha masikitiko yake juu ya dosari zilizojitoleza kwenye uchaguzi huo na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo alishindwa kutengua matokeo hayo.

“Niwaeleze, Rais Magufuli aliumia sana na hizo kasoro zilizokuwa nje ya utendaji wake. Na Jaffo alikuwa hana kanuni za kutengua yale yaliyokuwa na hila,” amesema Shibuda

“Nasema hilo sababu mimi alinishirikisha na aliniambia hapa natoka vipi?. Nawaambia Rais hakufurahia na kasoro zilizojitokeza,” amesema Shibuda.

Kufuatia dosari hizo, Shibuda ametoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru ili dosari hizo zisijitokeze.

“Ndio maana nasema uchaguzi huu uwe wa haki usawa ili wengine waone Tanzania ni nchi kimbilio na darasa la siasa za demokrasia,” amesema Shibuda ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha ADA-Tadea
Zimefika zama za kila mtu anajiweka karibu na waridi anukie, kila mmoja ananata na beat katika eneo lake🤣🤣🤣🤣
 
Akili
JOHN Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, amesema Rais John Pombe Magufuli, aliumizwa na sintofahamu iliyojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa tarehe 24 Novemba 2019.

Shibuda amesema hayo leo Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 wakati akizungumza katika warsha ya wadau wa uchaguzi katika kujadili namna ya kudhibiti rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 iliyoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.

Katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa, vyama zaidi ya vitani vya upinzani Chadema, CUF, ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi, UPDP, Chaumma na CCK havikushiriki kwa kile kilichoelezwa kutokutendewa haki kwa wagombea wao hasa nyakati za kuchukua au kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea.

Kujitoa huko, kulikifanya chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushika kwa zaidi ya asilimia 98 uchaguzi huo.

Akizungumzia sakata hilo, Shibuda amesema Rais Magufuli alimshirikisha masikitiko yake juu ya dosari zilizojitoleza kwenye uchaguzi huo na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo alishindwa kutengua matokeo hayo.

“Niwaeleze, Rais Magufuli aliumia sana na hizo kasoro zilizokuwa nje ya utendaji wake. Na Jaffo alikuwa hana kanuni za kutengua yale yaliyokuwa na hila,” amesema Shibuda

“Nasema hilo sababu mimi alinishirikisha na aliniambia hapa natoka vipi?. Nawaambia Rais hakufurahia na kasoro zilizojitokeza,” amesema Shibuda.

Kufuatia dosari hizo, Shibuda ametoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru ili dosari hizo zisijitokeze.

“Ndio maana nasema uchaguzi huu uwe wa haki usawa ili wengine waone Tanzania ni nchi kimbilio na darasa la siasa za demokrasia,” amesema Shibuda ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha ADA-Tadea
Akili zimemrudi
 
We Shibuda mambo yapo wazi kabisa....ule haukuwa uchaguzi bali uhuni...usitetee uhuni we Mzee.
 
Uchaguzi wa serikali za mitaa unasimamiwa na TAMISEMI ambayo iko chini ya Ofisi ya Rais.

Kilicho tokea sio kwamba ni kasoro hapana kusema kasoro ni kubariki uozo uliofanyika, kilicho fanyika ni kitu kilicho pangwa kwa ustadi na kuratibiwa vema nchi nzima.Wapinzani wananyimwa fomu ,watendaji wanakimbia ofisi, wapinzani fomu zao zinatupwa kwamba wameshindwa kujaza fomu, hadi unajiuliza ccm walisomea shule gani tofauti na walizo soma wapinzani?

Kama kweli angekua ameguswa na kilichotokea angechukua hatua kali kwa waliosababisha na pia angefuta uchaguzi na kufanya utaratibu mpya.

Lakini kitendo cha kujitokeza hadharani na kujivunia ushindi wa 98% wa chama chake, ni wazi yaliyo tokea yalikua na baraka zake!

Tusidanganyane ,uchaguzi ulivurugwa makusudi kabisa, na ilifanyika kwa namna inayo fanana nchi nzima.
 
Shibuda ameongea kwa niaba ya Rais?
Kama hakufurahishwa mbona hakukemea?
Haswaaa. Kama raisi alikerwa na matokeo yale ya chama chake kushinda kwa 100%, mbona hakusema hadharani wala kuiamuru tume ifanye vinginevyo?
 
Back
Top Bottom