Wewe ni km sindano inayowekwa uzi kwa nyuma halafu yenyewe inashona kwa mbele!
Zitto yupo Naigeria kaenda kutafuta uchawi wa kumloga Mbowe ili afe,baada ya ile mbinu ya kumuua kwa Bomu Soweto jijini Arusha kushindwa!
Bahati mbaya atakufa yeye sasa.
Mbona kwenye mada km za Kujiuzulu kwa meya wa Bukoba na za Malumbano ya Wenyeviti wa Ccm (Msindai na Msukuma) Mikoa juu ya Lowassa kutangaza nia ya kugombea Rais huwa huchangii?
Mkuu hunatarifa za kutosha ndiyo maana nawambia zitto anawazidi sana akili zitto wala hayupo nigeria mimi juzi nimemuona kwa macho yangu mkoani simiyu jioni ya moja msikitini hapa bariadi akitoka kuswali halafu wewe unaongea habari za nigeria.
Wewe ni km sindano inayowekwa uzi kwa nyuma halafu yenyewe inashona kwa mbele!
Zitto yupo Naigeria kaenda kutafuta uchawi wa kumloga Mbowe ili afe,baada ya ile mbinu ya kumuua kwa Bomu Soweto jijini Arusha kushindwa!
Bahati mbaya atakufa yeye sasa.
Mbona kwenye mada km za Kujiuzulu kwa meya wa Bukoba na za Malumbano ya Wenyeviti wa Ccm (Msindai na Msukuma) Mikoa juu ya Lowassa kutangaza nia ya kugombea Rais huwa huchangii?
Huko ccm sasa hivi kuna msemo mpya kutoka kwa msindai huyo mwenyekiti wa wenyeviti wa mikoa ccm etiWanaogopa kumfukuza shibuda watashindwa kwenda kanda ya ziwa make yeye ndiye kaipeleka cdmmkanda ya ziwa.
Akizungumzia fukuzafukuza ndani ya cdm Mh. Shibuda yeye amedai hawazi kuondoka cdm wala kufukuzwa hivo yeye ni kama NYAMBIZI ndani ya Chadema.
Inafahamika kuwa mienendo ya mbunge huyu wa Maswa kufanya mambo yasiyoeleweka ndani na nje ya chama ila bado hajapewa adhabu yoyote hivo kujiona sasa yeye ni Nyambizi.
Mimi najiuliza huyu bwana ni nini kimemsalimisha Shibuda kutimuliwa? Huyu bwana anataka aibue kamgogoro ili atimkie ACT.
Pole Zitto ugua pole huko ulikolazwa Nigeria.
Wanaogopa kumfukuza shibuda watashindwa kwenda kanda ya ziwa make yeye ndiye kaipeleka cdmmkanda ya ziwa.
Kama wana jeuri wamguse
Kama wana jeuri wamguse
Shibuda ni mwanaume wa uhakika haogopi hao mapimbi wenzake.
Wanaogopa kumfukuza shibuda watashindwa kwenda kanda ya ziwa make yeye ndiye kaipeleka cdmmkanda ya ziwa.
Ujue ukiwa umevaa shati jeupe likawa na kialama cheusi kimoja Itaonekana ni doa lakini madoa yakizidi itaonekana ni urembo.
Ujue ukiwa umevaa shati jeupe likawa na kialama cheusi kimoja Itaonekana ni doa lakini madoa yakizidi itaonekana ni urembo.