Shibuda: Mimi Ni Nyambizi CHADEMA

Shibuda: Mimi Ni Nyambizi CHADEMA

mkuu hunatarifa za kutosha ndiyo maana nawambia zitto anawazidi sana akili zitto wala hayupo nigeria mimi juzi nimemuona kwa macho yangu mkoani simiyu jioni ya moja msikitini hapa bariadi akitoka kuswali halafu wewe unaongea habari za nigeria.

kwani kufika nigeria ni mwendo wa siku ngapi? Anataka kuungama dhambi ya usaliti mbele ya tb joshua
 
Mkuu hunatarifa za kutosha ndiyo maana nawambia zitto anawazidi sana akili zitto wala hayupo nigeria mimi juzi nimemuona kwa macho yangu mkoani simiyu jioni ya moja msikitini hapa bariadi akitoka kuswali halafu wewe unaongea habari za nigeria.

Zitto anaswali?! Hahahaaa
 
Mkuu hunatarifa za kutosha ndiyo maana nawambia zitto anawazidi sana akili zitto wala hayupo nigeria mimi juzi nimemuona kwa macho yangu mkoani simiyu jioni ya moja msikitini hapa bariadi akitoka kuswali halafu wewe unaongea habari za nigeria.

Nasema kila siku akili zako ni za mwenda wazimu, sasa tyread iliyo hapa inaendana vipi na Zitto kuwa Nigeria?
 
Shibuda ni Nyoka Wa Kibisa au Nyuki wa Mashinene, hvyo Chama Makini "Chadema" haiangaiki na watu wa type ya Shibuda coz hawana madhara.
 
Zitto hata aendewapi alogevipi wala uchawialiopewa Kongo kumuangusha dkt slaa mwanza hazitazaa matunda mwisho zitamlidi yeye
 
Akizungumzia fukuzafukuza ndani ya cdm Mh. Shibuda yeye amedai hawazi kuondoka cdm wala kufukuzwa hivo yeye ni kama NYAMBIZI ndani ya Chadema.
Inafahamika kuwa mienendo ya mbunge huyu wa Maswa kufanya mambo yasiyoeleweka ndani na nje ya chama ila bado hajapewa adhabu yoyote hivo kujiona sasa yeye ni Nyambizi.
Mimi najiuliza huyu bwana ni nini kimemsalimisha Shibuda kutimuliwa? Huyu bwana anataka aibue kamgogoro ili atimkie ACT.

Pole Zitto ugua pole huko ulikolazwa Nigeria.

Hahahahahaha! SHIBUDA BHANA!
LAKINI INABIDI CHADEMA WAMZOEE TU BWANA 'ABUNUASI', HEBU WAJARIBU KUM'CONSULT' JK MAPEMA MAANA UCHAGUZI UNAKARIBIA SASA NA KWA HUYU JAMAA WAJIANDAE TU KUPAMBANA KUHUSU NANI AGOMBEE URAISI!
 
Habari za wasaliti zilishakwisha siku nyingi au bado mnawapenda? Maana watu zitto zitto!
 
'mzee wenu namimi naingia baada ya kupta kachai na viazi kutokana na kukosekana maisha bora'

"hakika usaliti ni jambo baya"
nimeoteshwa leo ndotoni kuwa zi.tto kafariki ,tusubiri tuone!
 
Mkuu hunatarifa za kutosha ndiyo maana nawambia zitto anawazidi sana akili zitto wala hayupo nigeria mimi juzi nimemuona kwa macho yangu mkoani simiyu jioni ya moja msikitini hapa bariadi akitoka kuswali halafu wewe unaongea habari za nigeria.

wewe inaelekea uko karibu sana na Zito, naomba ukamwulize kama urafiki wake na kagame bado upo au umesambaratika baada ya M23 kusambaratishwa.
 
'mzee wenu namimi naingia baada ya kupta kachai na viazi kutokana na kukosekana maisha bora'

"hakika usaliti ni jambo baya"
nimeoteshwa leo ndotoni kuwa zi.tto kafariki ,tusubiri tuone!

Viazi ni noma
 
Shi.buda ni kijana wangu ambaye historia yake ninaifahamu,toka yuko kidato cha kwanza hadi cha nne.

Anamattizo flani ya akili hivyo hata akitoa jambo haangalii lina faida gani aumadhara gani kwa anao waambia.

Hivyo kwa chadema ni chama makini na hakina ubaguzi kwa walemavu.
 
Zamani vidonda vilivyo chelewa kupona viliitwa donda ndugu,, sasa hii shibuda ndio nini???!
 
Kaenda nigeria kutafuta nini?, wakati kijana wa mtemi mazengo nipo na ninakilinda chama changu chadema kwa nguvu zangu zote ikibidi hata nife tu!.

Zit.to anajidanganya muda si mrefu atakufa tu!

'namwombea laana kwa allah kila siku'
 
Kaenda nigeria kutafuta nini?, wakati kijana wa mtemi mazengo nipo na ninakilinda chama changu chadema kwa nguvu zangu zote ikibidi hata nife tu!.

Zit.to anajidanganya muda si mrefu atakufa tu!

'namwombea laana kwa allah kila siku'

Mkuu utaisaidia polisi
 
Back
Top Bottom