Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 3,412
- 4,684
Atakuwa Jenerali kama Defao, inawezekana ana ule ujenerali wa Defao jamani, mwacheni ajigambe
mkuu we ni noma! Halafu kama wanafanana vile.
Atakuwa Jenerali kama Defao, inawezekana ana ule ujenerali wa Defao jamani, mwacheni ajigambe
mkuu we ni noma! Halafu kama wanafanana vile.
...John Shibuda; kama anavyofahamika ni "mjanja" wa kuchezea siasa kwa kuwa ndio "mradi" wake (political enterprising) QUOTE]
Kwenye red: Shameless ndio neno sahihi.
Atakuwa Jenerali kama Defao, inawezekana ana ule ujenerali wa Defao jamani, mwacheni ajigambe