Acha matusi we mbweha,fisi maji mkubwa weee,ona lilivyolijinga!Ongelea shibuda kama shibuda na siyo wasukuma, wala eneo la usukuman.Wasukuma ni wastaarabu sana huwez kuongea upuuz tukakwaangalia tu! Wasukuma wangekuwa na ubinafsi na roho mbaya wee mpuuz ungejificha wapi?tz hii wasukuma wakiamua kupendeleana wee kinyago utapata nini?hata kazi ya kufagia choo huipati.Watanzania tuheshimiane si mmakonde,mngindo,mchaga wala msukuman,nyerere alifanya kaz kubwa sana,tuiheshimu hiyo kazi.CHADEMA imechukua majimbo mangapi usukuman we *****?leo unabwabwaja maneno yasiyokuwa na msingi,umekunywa gongo ukaingia jf? Mijitu mingine bana,imelaaniwa! Au ndio kuanza kushika dola nini? Inakasirisha sana.