Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Kwa nini hayuko kwenye safari ya kujenga chama kusini kama kweli anataja kugombea nafasi kupitia chama hicho??. Tujiulize..Amekifanyia nini chama??. Huyu mzee nina uhakika hata jimboni kwake hajafungua tawi lolote..this only disqualifies him..!