jamani si shangai la shibunda kule usukumani kuna sera ya kuwa rahisi wa wachawi may be shibuda hajamuelewa pengine anahitajika Ngamboshi ili awe rais wa kuzimu msimshangae sana hili lawezekana wasukuma Noma Ngamboshi inatisha kuna mji hata tanzania haupo, full starehe, barabara juu na chini, hakuna kulima nikuvuna tu maisha mstarehe kabisa. nakutakia mafanikio Shibuda!