Shibuda ampokea Kikwete Dodoma

Kwani Shibuda ni mbunge wa chama gani kama siyo chama cha magamba? Si amempokea M/kiti wake?
 
BABA ZIMA KUJIPENDEKEZA KWA MWANAUME MWENZIo KAMA MWANAMKE haipendezi.
 
Kwanza tufahamu alimpokea wapi na Rais alikuwa na shughuli gani hapo. Kama safari ilikuwa ya Kiserikali ni sawa kabisa. Alimpokea kama Rais wa nchi. Mtu akishakuwa Rais, ni wa Watanzania wote bila kujali itikadi yake kwa maana hiyo Shibuda yuko sawa kampokea Rais. Labda kama Mhe. Rais angekuwa kwenye shughuli za kuimarisha chama chake ndio ingekuwa tatizo kwa Mhe. Shibuda kushiriki katika shughuli hiyo.
 
Mchungaji msigwa pia alimpokea Rais hapa Iringa Last week

Hili la Msigwa ni tofauti na la Shibuda. Msigwa alikuwa kwenye jimbo lake la uchaguzi. Niambie Dodoma ni jimbo la Shibuda? Yaani haliko hata kwenye mkoa jirani.
 
Acha kukurupuka heading inajieleza au unataka kuandika gazeti?Heading na picha vinajieleza we unataka nini zaidi hayo?
 
Alikuwa jimboni kwake na alikuwa kwenye shughuli za kiserikali.Je ndivyo hivyo kwa Shibuda?
 
Kwanza tufahamu alimpokea wapi na Rais alikuwa na shughuli gani hapo. Kama safari ilikuwa ya Kiserikali ni sawa kabisa. Alimpokea kama Rais wa nchi. Mtu akishakuwa Rais, ni wa Watanzania wote bila kujali itikadi yake kwa maana hiyo Shibuda yuko sawa kampokea Rais. Labda kama Mhe. Rais angekuwa kwenye shughuli za kuimarisha chama chake ndio ingekuwa tatizo kwa Mhe. Shibuda kushiriki katika shughuli hiyo.

Kwa kuangalia picha tu utajua alikuwa kwenye shughuli gani? Wapambe wote ni magamba wakiongozwa na makamu mwenyekiti bw Msekwa pamoja na katibu mkuu. Na kama unafuatilia matukio ni kuwa sasa hivi Dodoma kuna kikao cha halmashauri kuu ya chama cha magamba.
 
Mtu unapochekwa ujue wazi kwamba umedharauliwa. Sasa ktk picha hiyo ya kwenye gazeti la majira la leo, wakati shibuda anasalimiana na kikwete wengine wote akiwamo kikwete mwenyewe wanamcheka mno kwa kumwona hana msimamo.
 
Kwanza tufahamu alimpokea wapi na Rais alikuwa na shughuli gani hapo. Kama safari ilikuwa ya Kiserikali ni sawa kabisa. Alimpokea kama Rais wa nchi. Mtu akishakuwa Rais, ni wa Watanzania wote bila kujali itikadi yake kwa maana hiyo Shibuda yuko sawa kampokea Rais. Labda kama Mhe. Rais angekuwa kwenye shughuli za kuimarisha chama chake ndio ingekuwa tatizo kwa Mhe. Shibuda kushiriki katika shughuli hiyo.

Hapo ni mwenyekiti wa ccm kwani alienda kama kada na kiongozi wa ccm kulikoni shibuda kumpokea
 
Siasa za kishamba hazitaisha nchi hii. Yaani wewe unadhani mtu kuwa upinzani basi asiwe na mahusiano au mawasiliano na mtu wa chama tawala? Siasa za wapi hizo? Unasemaje uhusiano wa Rais na Zitto au Mbowe na Lowassa? Ni vizuri mkajifunza kukomaa, siyo kudhani kwamba siasa ni vita. Mnaleta ushamba wa simba na yanga kwamba mchezaji akionekana na mchezaji au kiongozi wa timu pinzani basi anataka kuhongwa.
 
Lakini shibuda hakumpokea JK Maswa.......hapo ni Dodoma na ilikuwa shughuli ya CCM yeye kafikaje?

Kikwete-right-greets-Maswa-West-MP-John-Shibuda.jpg


The CCM National Chairman, President Jakaya Kikwete (right), greets Maswa West MP John Shibuda (CHADEMA), after arriving in Dodoma over the weekend. The President who is also the ruling party's Chairman, will preside over NEC-CCM meeting slated for Wednesday. (Photo by State House)
 
Back
Top Bottom