Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Kitu ambacho CHADEMA hawawezi kuthubutu ni kumuondoa Shibuda, wanajuwa wakifanya hivyo ndio kifo chao, kama wanabisha wamuondoe halafu waone nini kitafata.
CHADEMA ilikuwepo, Shibuda kaikuta na ataiacha ikipepea juu kwa juu. Kufukuzwa kwa Shibuda ndiyo itaiongezea credibility CHADEMA.