mkuu wangwe ana ndugu zake na familia bado inaishi, sio ustaarabu kama familia imekaa kimya wewe kuongea mambo kama haya
unakua uitendei haki, kama kweli unaongea kwa utu, basi wapi ushahidi hiyo familia ya kwamba ndugu yao aliuawa kwa sababu ya kuoji posho,
ama la huku ni kukosa maadili na kuitukana familia yake, sio hivyo tu unawanyima uhuru wa wao kusonga mbele kwa kusahau yaliyopita,
wewe na mimi hatuna haki ya kuisemea familia ya wangwe, kwenye majukwaa bila ruhusa yao.
tujifunze kuheshimu familia za wafiwa, maneno mazito kama haya sio ya kuweka kwenye majukwaa tu kwa sababu una internet, futa kauli yako kama una utu, ama la peleka ushahidi kwenye hiyo familia, utakua umetenda haki