GE2025 Shetta ajitosa kugombea udiwani kata ya Mchikichini

GE2025 Shetta ajitosa kugombea udiwani kata ya Mchikichini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakuu,

Wakati mwanaye akiendeleza harakati pale Chipukizi, baba mtu naye amaeamua kujitosa udiwani kata ya Mchikichini, Dar es salaa.

===
Nurdin Bilal Ally Juma alimaarufu kama Shetta amechukua Fomu ya Kutia Nia ya kugombea Udiwani kata ya Mchikichini - Ilala Jijini Dar Es salaam.

Hapa Shetta akikabidhiwa fomu na Mkurugenzi wa uchaguzi Ccm Kata Mchikichini bi. Hellen Madanganya.
SaveClip.App_513998753_18512489635056691_6575909605511087400_n.jpg


SaveClip.App_514147189_18512489626056691_8853348852098713867_n.jpg


Chanzo: Bongo Five
 
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nurdin Bilal Ally Juma, maarufu kama Shetta, amejiunga rasmi na mchakato wa kisiasa kwa kuchukua fomu ya kutia nia ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mchikichini, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

1751114061188.png
Shetta alikabidhiwa fomu hiyo na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa CCM Kata ya Mchikichini, Bi. Hellen Madanganya, katika ofisi za chama hicho leo, hatua inayomuweka rasmi kwenye mbio za kuwania nafasi ya uongozi katika uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

1751114087061.png
 
Kwa msaada wa Dingi yake, anapata udiwani chaap. Ashapita huyoo.
Lol
 
Back
Top Bottom