Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,971
- 13,605
WanaJF, ni kweli shetani ni mwanamke? Kama c mwanamke basi,shetani anapenda kuwatumia wanawake, kwenye maovu mengi... Kwa mfano nyoka (shetani) alimdanganya HAWA. Hawa naye akamdanganya Adam,akala tunda la mti waliokatazwa na mungu. Delila (mwanamke huyo) akitumiwa na wafilisti, baada ya kumhadaa SAMSON, na kujua siri ya nywele za samson alitoa siri kwa wafilisti, wakafanikiwa kumkamata na kumtoboa macho.
Mke wa Ayubu( mwanamke huyo) baada ya Ayubu kupoteza mali,zake na watoto wake alimwambia "si umkufuru mungu tu ukafe..angalia kwa sasa wanawake wanavyovaa nguo za ajabu, wanatembea nusu uchi, wanafanya biashara ya ngono. Kwa kweli wanamambo ya hovyo sana,na mengi ni chukizo wa mungu. Je huku c kutumiwa na shetani?
Mke wa Ayubu( mwanamke huyo) baada ya Ayubu kupoteza mali,zake na watoto wake alimwambia "si umkufuru mungu tu ukafe..angalia kwa sasa wanawake wanavyovaa nguo za ajabu, wanatembea nusu uchi, wanafanya biashara ya ngono. Kwa kweli wanamambo ya hovyo sana,na mengi ni chukizo wa mungu. Je huku c kutumiwa na shetani?