Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Nitafika kote nnaumwa kahoma na mafua siwezi kukodoa macho mda mrefu kusomaHalafu kuna sehemu nimekuita uko hakuna uzinguaji kabisa
Nitafika kote nnaumwa kahoma na mafua siwezi kukodoa macho mda mrefu kusomaHalafu kuna sehemu nimekuita uko hakuna uzinguaji kabisa
Pole sana umeenda hospital sasaNitafika kote nnaumwa kahoma na mafua siwezi kukodoa macho mda mrefu kusoma
Sijaenda bado ila atleast leo nafuu ipoPole sana umeenda hospital sasa
Pole sana Half kunywa maji mengi sana ambayo sio ya baridiSijaenda bado ila atleast leo nafuu ipo
Ahsante kumbe nakosea kunywa ya baridi?Pole sana Half kunywa maji mengi sana ambayo sio ya baridi
Unakosea sanaaa kunywa ya moto sijui ndio ya kawaidaAhsante kumbe nakosea kunywa ya baridi?
Waambie na mods wafute threadHaya ndugu wananchiiiii stori yetu inaishia hapa
U can do it instead of meWaambie na mods wafute thread
Hadithi hii au nyingine?Halafu kuna sehemu nimekuita uko hakuna uzinguaji kabisa
Nyingine dearHadithi hii au nyingine?
Na wala usiianze mpenzi utapotea mda bure eti madai kasusa itakuwa anapocopy story wenyewe hawaendeleiKwamba kasusa au? Hii story nilikuwa sijaanza kuisoma bado![]()
Kuna story kama nne sijazigusa kabisa. Mbili naona zishapigwa chini na wasimuliaji 😅😅Na wala usiianze mpenzi utapotea mda bure eti madai kasusa itakuwa anapocopy story wenyewe hawaendelei
Kuna story kama nne sijazigusa kabisa. Mbili naona zishapigwa chini na wasimuliaji![]()
na tukisusa tunasusa kwani nini bwana😅😅😅 We ngoja uone wasimuliaji wakiweka muendelezo, utaona wasomaji mnavyoshukuru kama tano tano 😅nimechekaaa