Huyu ni nani tenaNimekuja haraka
We tulikuwa wote kwenye story mpaka nilikuwa nakumention tena umekuwa ubobo sielewi yaaani me nikajua ni umeleta story mpya
Ubobo ana ID tano. Ya mwanzo ilikuw gentapyne sujui🤣 ana nyingine zikeandikw shetan mkuu🤣 hii anajifanya mtakatifu🤣🤣🤣We tulikuwa wote kwenye story mpaka nilikuwa nakumention tena umekuwa ubobo sielewi yaaani me nikajua ni umeleta story mpya
😂😂😂😂Ubobo ana ID tano. Ya mwanzo ilikuw gentapyne sujui🤣 ana nyingine zikeandikw shetan mkuu🤣 hii anajifanya mtakatifu🤣🤣🤣
mods wamemshtukia😀
Dunia ina vitukoHuyu ni nani tena
Hapana Mkuu hii ndio ID yangu ya kitambo zaidi kuliko yoyote since 2019 huko japo zilikuwa merged ndio maana unaona joined 2021 ila nipo tangu 2015 humuUbobo ana ID tano. Ya mwanzo ilikuw gentapyne sujui🤣 ana nyingine zikeandikw shetan mkuu🤣 hii anajifanya mtakatifu🤣🤣🤣
mods wamemshtukia😀
Hiyo genta si ndio alibadili kuwa ubobo na ya mtakatifu imekuwaje tena ila jfUbobo ana ID tano. Ya mwanzo ilikuw gentapyne sujuiana nyingine zikeandikw shetan mkuu
hii anajifanya mtakatifu
mods wamemshtukia![]()
we ubobo ebu njoo kwanza me nimekuzoea kwa ubobo mpaka nizoee mtakatifu sio leo
Kwahiyo ni ubobo huyu kweli yaani sijui kwa nini siamini na ubobo mwenyewe simuoniDunia ina vituko

Sasa we mbona mpole ubobo alichangamka sana jamaniii kwa nini wameipa ban ubobo si wangeziunganisha tu na zote na kuipa jina moja la uboboHapana Mkuu hii ndio ID yangu ya kitambo zaidi kuliko yoyote since 2019 huko japo zilikuwa merged ndio maana unaona joined 2021 ila nipo tangu 2015 humu
Kuhusu ubobo kilichotokea ni ban takatifu
Shunie mimi ndio yule
Kwahiyo ni ubobo huyu kweli yaani sijui kwa nini siamini na ubobo mwenyewe simuoni![]()
Kila nionapo dp yakoDunia ina vituko
Hebu waeleze wao maana nililiomba hili kitambo sanaSasa we mbona mpole ubobo alichangamka sana jamaniii kwa nini wameipa ban ubobo si wangeziunganisha tu na zote na kuipa jina moja la ubobo
😂😂😂 umeniacha hoiKila nionapo dp yako
Najua sisalimiki hapo
Kala banKwahiyo ni ubobo huyu kweli yaani sijui kwa nini siamini na ubobo mwenyewe simuoni![]()
Ni life ban au