Shetani ana uwezo mkubwa sana

Jidanganye hvo hvo....Mungu aliamua kumtuma mwanae pekee kutoka mbingun kuja dunian kwenye taka taka zotee shetan akamuu msalaban kwa kushawish wanadamu ikabid afufuke awaachie kaz hyo ya kupambana na shetan wanadamu had leo mapambano ni makal..halaf unasema nguv ya shetan ni 0.0001...walokole buana..sjui nan anawatoaga akil nyie

Shetan kauharibu ulimwengu huu for milions of years halaf unasema ana nguvu almost negligible???una akil kwel mlokole...

Heb use ua mind and logic bas...na hapa utasema ooh mambo ya mungu huwez tafsir kwa akil ya mwanadamu..sawa mlokole..lakin huyo mungu ndie kakupa akil na kakuumba kwa mfano wake...hebu eliminiken..ila sio kosa lenu...nyie mmekua mtaj wa corporate and corrupt word...bila watu avarage thinkng dunia hii inakua si nzur kwa mamlaka.so watatumia njia yoyote ku penetrate hyo loophole..sorry brother...

Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto bhana, kwa hiyo akili zako zimeishia ukomo wa kuniita sina akili bila ya hekima za kujadiliana na mimi pasipo matusi?

Kila Mtu ashushe matusi yake hapa patakuwa salama kweli?
 
Utoto bhana, kwa hiyo akili zako zimeishia ukomo wa kuniita sina akili bila ya hekima za kujadiliana na mimi pasipo matusi?

Kila Mtu ashushe matusi yake hapa patakuwa salama kweli?
Mnauzi sana...nyie ndo mnajipanga kwa kina shila na masanja mlishwe neno..halaf mnakuja kubishana huku..mnakera...mtu anaekulisha neno ana elimu ndogo kuliko wew na unakaa kabisa unamskiliza..kisa tu et huwez ku question mambo ya mungu..yaan hata mungu mwenyew anashangaa....ndomana shila anadirik hata kuongea mambo ya ajabu anajua kondoo watamskiliza tu na sadaka watatoa...use ua brain aliyokupa muumba wako tafadhal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kifupi tu ni kwamba hata Mungu mwenyewe ameshasarenda, amekubali kushindwa na shetani, hana namna!

Shetani ndiye mmiliki halisi wa ulimwengu huu, ndio ukisoma kwenye biblia, shetani alimuonyesha Yesu miliki za ulimwengu na kuahidi kumpatia kama atamsujudia.
Lakini pia, Mungu amekiri kabisa katika biblia kuwa binadamu walio wengi watafuata ushawishi wa shetani na wachache sana ndio watafuata maelekezo ya Mungu, yaani shetani ndiye mwenye ushawishi zaidi juu ya wanadamu kuliko Mungu... Imagine!

Hoja hiyo hapo juu inathibitishwa na ushahidi kuwa ni wachache tu watakaoingia mbinguni/peponi, bali walio wengi wataenda jehanamu, kwa ushawishi wa shetani!

Mungu kazidiwa kabisa na shetani, na jambo la kusikitisha ni kwamba hana uwezo wa kumwangamiza shetani, HAWEZI! Hivyo anabaki kutia huruma tu, hana la kufanya na shetani anatamba bila wasiwasi, popote. SHETANI hoyeeeee!
Mbaya zaidi tunachimbwa mkwara kwmba tukimfuata tutaishia jehannama .
Najiuliza mgogoro wa shetani na mungu unamhusu vipi mwanadamu ???
Mbona shetani hajaandika vitabu vya kumshutumu mungu Kama mungu anavyoandika vitabu vinavyomshutumu shetani ??
 
Mbaya zaidi tunachimbwa mkwara kwmba tukimfuata tutaishia jehannama .
Najiuliza mgogoro wa shetani na mungu unamhusu vipi mwanadamu ???
Mbona shetani hajaandika vitabu vya kumshutumu mungu Kama mungu anavyoandika vitabu vinavyomshutumu shetani ??

Mungu hajaandika kitabu chochote ila tuna bible iliyoandikwa na watu as they were moved by the Holy Spirit

Hata Shetani hajaandika kitabu lakini kuna watu wafuasi wake ambao wameandika vitabu vingi tuu
Moja wapo ni The Satanic Bible!
Unaweza kukitafuta na kukisoma!

Kingine ni the Antichrist cha Fredrick Nietzsche

Bahati nzuri nimevisoma vyote hivi vitabu kwa hiyo najua Mashetani huwaza nini
 
Ukijua kwa sehemu tu concept ya mwanga (light) ndio walau utakuwa unajua nini maana ya Nuru na Giza

Sasa hawa vijana waliomaliza Sekondari za katani hata physics ya form two hawakusoma kwa kukosa mwalimu au kwa uzembe wao. Leo wanawezaje kuleta Advance stories za nuru (light) na giza (darkness) kwa Ulinganisho rahisi kabisa wa kuwa giza (devil) ni superior kuliko mwanga (Jesus)?

Nadhani pia ni sababu kwenye ufahamu wao kunae giza (darkness kingdom)

For further reference please read John Chapter One in New Treatment in Holy Bible
 
E bwana embu tuchangiane mawazo huyu kiumbe shetani ni kiumbe mwenye nguvu sana ,kiukweli anatisha ,ni hivi
  • Ameweza kumiliki jeshi la mbinguni
  • Ameharibu mipango mingi ya Muumbaji,
  • Licha ya kumjua Mungu bado anamtunishia kifua
  • Ametawala sehemu kubwa ya ulimwengu wa Nuru na ulimwengu wa Giza ndio kaubeba kabisa

Yako mengi ambayo ameyafanya yanatisha kiukweli tunahitaji msaada wa Mungu siyo rahisi kupona ,maana huku duniani ndiko alikotupwa ,maana maandiko matakatifu yanasimulia kulitokea vita kuu mbinguni ,aisee labda hatujui ila ni vita iliyisheheni maarifa ya hali ya juu ,zana zenye uwezo wa kutisha,silaha zenye kuangamiza mwili na roho.

Huyu kiumbe aliwasha moto yaani aliliamsha kwelikweli,Mikael mkuu wa majeshi ikabidi aombe msaada ,ndipo ushindi mwembamba ukapatikana.

Najiuliza sisi binadamu ambao hata ulimwengu wa roho hatuujui,wala hatuna silaha yoyote ya maana tutatoboa?


Huyo shetani ni kiumbe aliyeumbwa na nani??
 
Even though kwa kuwa wewe ni kiumbe chake,if you make a bad choice,ipo adhabu,and that is eternal hell.


Eternal hell??!!, halafu hapo hapo unasema Mungu wetu sio dictator !!🤣🤣

Mtu afanye makosa kwa muda fixed hapa duniani kinyume chake apate adhabu ya MILELE?!?---- is that an absolute justice??!
 
Shetani hamiliki jeshi la Mbinguni mkuu,God controls it,that is one.Two, ni kweli Shetani ana nguvu,but only if you have not received Jesus Christ as your personal saviour.Three, despite what you see happening in the World, God is in control of it all.Lastly, God will destroy Satan at the end of time with all his followers.
Mkuu kumbe shetani ni wa kiume?
 
Eternal hell??!!, halafu hapo hapo unasema Mungu wetu sio dictator !!🤣🤣

Mtu afanye makosa kwa muda fixed hapa duniani kinyume chake apate adhabu ya MILELE?!?---- is that an absolute justice??!
There is no absolute freedom anywhere.Kama hapa duniani unaadhibiwa kwa makosa ufanyayo,Mbinguni ni hivyo hivyo.Mbona duniani unaamini uko huru.Fikra zako zimepofushwa na Shetani ili umchukie Mungu.

The truth hata hivyo remains that una choice,you either choose God or Satan,and if you choose Satan you have choosen hell because Satan's place is hell.How do you choose the ways of Satan and go to Heaven?Heaven if for righteous people only!So choose today,Satan or God.
 
Jamaa ana hasira hadi bible imeandika kiasi cha hasira yake!!
Mkuu hata Mungu ana hasira si unakumbuka alivyo muangamiza kora na wenzake pale Kanesh Bernea?? tena hasira ya Mungu ikiwaka Juu yako heee! ni usiombee!!
Kwanza ni Kiumbe!
Sasa Kiumbe anamshindaje Aliyemuumba!
Kumbuka shetani alikuwa Malaika wa sifa,na muimbaji Mkuu Huko mbinguni!! sifa zake zilikuwa kubwa mnooo ''Mkuu wamalaika!! na Lucifer........Mungu alimwachia shetani mauwezo km yooote!!.....

sasa jiulize kwa nini Mungu hakumnyanganya huo uwezo awape wadadamu?? wkt akijua kuwa atasumbua wanadamu wasio kuwa nao?? sasa huoni Mungu bado anakihurumia kiumbe chake!

Hata wewe huwezi kumuua Mbwa wako Mzuri Mkubwa ulie Mugharamia chakula, majosho, na sindano, eti kwa sababu tu kala kuku wako!! lkn km huyohuyo Mbwa wako akila bata wa jirani yako ni rahisi sana jirani yako kumuua

sababu hajui uchungu wa kumtunza yule yule mbwa!! sawa na wewe Mwanadamu hujui uchungu na gharama alizo/anazo pata Mungu za kumtunza shetani!! unaona ni rhisi tu afe kwenye ziwa la moto!!

jiulize tu je na wewe unapenda kufa ivo!...na gharama alizopata Mungu kumtengeneza shetani kwakweli ni kubwa mnooo!!...mpaka leo anamgharamia!! tena shetani anamuomba Mungu kuliko unavyodhania!!! na anajibiwa!!

Biblia inasema Kesheni mkiomba maana mshitaki wenu anaomba usiku na mchana!!..... Mwenzenu anafunga na kuomba tena anajua Kupiga maombi ni usiombe na anajibiwa!....... maombi yake!! nyie ambao hamjui uchungu wa gharama za kumtengeneza shetani mnaona rahisi tu akufilie kwa mbali weee thubutu!!!

Hata ufanyeje na yeye ni mwana wa Mungu tu!! huwezi kuiondoa hiyo!! sometimes km wewe au zaidi yako!....... usihangaike wewe kuwa fair tu!!! Mungu akikuhurumia basi shukuru kuwa utaingia Paradiso!!!

Lkn Akikukataa mwana utaumia sana....tena hapahapa Dunuani.....muacheni shetani wa watu anenepe!! kwanza ni kaka yenu uongo!!..sasa unachukia ndg yako???

cha kufanya mpingeni tu pale anapo kudnganya siyo kumchukia!!! ooh! lishetani!!oooh libaya!! yaani hata wkt mwingine anawachekaga sana.....mra mmchore akiwa jeusiiiii km mkaa!! mara kichwa km jipopo bawa!

kwa kumchora ivo shetani mnamkashfu Mungu bila kujau sababu ndo aliye muumba sasa Mungu ataumba gujidude tu!! gubaya baya??......nina hakika shetani akija leo wengi mta muabudu sababu nyie mtadhani ni gujidude flani hivi!!

kuuumbe shetani ni mzuri kuliko Miss world!! Malaika wa sifa UONGO?
 
What is it:accept Jesus Christ as your personal savior,after which you will receive the Holy Spirit
Hapa ndo weusi mnaingia chaka mbaya! mpaka basiiii!...sasaaa jesus yupi?? maana najua hao ma-jesus wako wengi??? Africans wengi kwa miaka mingi mnaabudu msicho kijua kabisaaa!! haya siyo mananeno yangu! bali hii ni laana ya Musa!!

alitamka wazi bila kificho ktk hotuba yake ya kwanza kabla ya kuingia nchi ya ahadi!...,,na kweli ndo km haya ya jesus wenu huyo!!
WHITE JESUS! WILL NEVER COME, DON'T DECEIVE YOURSELF! Mtasubiri sana ubungo stand!! sijui uwanja wa ndege KIA! hata hamueleweki!! lkn hata haji ng'oo!
 
Mbona tunampamba sana shetani? Kama ni mfuasi wake wa hiari, sio lazima kuaminisha umma kwamba ana nguvu sana. Hizo nguvu zake ziko wapi??? Kurogana wenyewe kwa wenyewe bila sababu?
 
Quran na biblia zinasema kuwa Mungu yupo na shetani aliumbwa na Mungu,Na pia wanaaamini kuwa Mungu anajua yote yaan anajua yanayokuja swali kama Mungu anajua yanayokuja kwanini alimuumba shetani wakati akijua atakuja kuwa mpinzani na adui yake kwanini katika darubini zake hakuona kuwa shetani atakuja kumpinga?
Kitendo cha mungu kuruhusu shetani kuumbwa lazima dhambi ziwepo kwa maana nyingine mungu ndio kaumba mabaya na maovu yote duniani hivyo basi kwa maneno rahisi Mungu ndio shetani mwenyewe
 
Unazijua mbinu za Shetani kijana??
Shetani akikuambia kitu usimwamini ni uongo

Quote
“Ndani yake ( rohoni mwake) Hapana ukweli “ Bible!


Kwa hivyo wakati shetani anamwambia yesu kwamba miliki zote za ulimwengu ni zake he was lying!!

In fact alikua anaongea kwa mmiliki halisi hahahaa!

Ndiyo Shetani ni mjanja kama wanawake tuu na kusema hivyo AMEJIMILIKISHA

Kumbuka kujimilikisha siyo kumiliki bali kujifanya wewe mmiliki

Yani utengeneze milki wewe halafu umwachie mwingine, mwanadamu hawezi kufanya hivyo Vipi Mungu”!

Na bible inapoandika kwa kumnakili Shetani haimanishi anachokisema Shetani ni kweli

Kwa iyo Shetani siyo mmiliki na hajawahi kumiliki ulimwengu huu tangu mwanzo na hata siku ile anajaribu Kumdanganya yesu hakuwa mmiliki!

Mungu ni bepari mmoja mzuri tu ambaye hawezi kugawa mali zake at any cost!

Mungu ni Capitalist tena wa ngazi ya Imperialist kabisa

Halafu usije dhani Mungu Siyo mjanja kwamba ujanja anao ibilisi/ Shetani tuu hahahaa

Mungu Mjanja hata Shetani hafui dafu!

Ukitaka kujua Mungu ni Mjanja Angalia alivyokua anawashauri Waisrael wapigane vita—- Full Mbinu na walikua wanashinda!

Mungu ni mjanja na kisasa tunasema “ Mtoto wa Mjini “ huwezi Mwingiza Kingi hata kidogo!
Mungu anaujua Uongo sema hawezi Sema Uongo yeye husema Ukweli daima——
Aseme Uongo ili iweje wakati yeye ni mtawala na mmiliki na ndiyo top!!

Shetani Anaujua ukweli lakini daima hawezi toa neno lenye ukweli kinywani mwake!!

Mungu ndiye aliyeweka foundation ya Natural laws zote unazozijua hadi zile psychological Laws!

Na in the end!
Huwezi mdanganya Mungu

Bible imerekodi maandishi ambayo ni Mawazo ya Mtu/ Watu hata kabla hawajayasema au kuyatekeleza

Utakuta maneno kama haya

1. “Akasema moyoni mwake”
2. “ Akawaza”
Nk

Hata Shetani ameandikiwa alikua mwema hadi siku ile uovu ulipoingia moyoni mwake !

Shetani akasema moyoni mwake “Nitapanda hadi mlima wa Mungu “

Ebu imajini mawazo ya Mtu/ kiumbe yanawekwa wazi katika maandishi!!!

Kwa hiyo Shetani hajawin hii vita na yupo restless sana now hadi imeandikwa state yake sasa hivi “ anazunguka huku na huko “

Mtu anayezunguka huku na huko akitafuta mtu ammeze means yupo Anahangaika!!

Simply jamaa yupo Vitani and anatafuta watu awameze kwa njia zote zaidi ikiwa Uongo na Kuwafanganyia watu Mali!

Jamaa ukila chake lazima ulipie hana free lunch

Lakini ebu tazama vya Mungu tunavyovitumia Bila malipo hadi raha!
Ahaaaa!!! Nimeipenda hii,kwanza mtoa uzi inabidi ajue shetani hana chake ulimwenguni, ni mwizi tu ajawahi umba hata sindano.

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, ni hatari.
 
Quran na biblia zinasema kuwa Mungu yupo na shetani aliumbwa na Mungu,Na pia wanaaamini kuwa Mungu anajua yote yaan anajua yanayokuja swali kama Mungu anajua yanayokuja kwanini alimuumba shetani wakati akijua atakuja kuwa mpinzani na adui yake kwanini katika darubini zake hakuona kuwa shetani atakuja kumpinga?
Kitendo cha mungu kuruhusu shetani kuumbwa lazima dhambi ziwepo kwa maana nyingine mungu ndio kaumba mabaya na maovu yote duniani hivyo basi kwa maneno rahisi Mungu ndio shetani mwenyewe
Imeandikwa, mawazo na akili za mwanadamu aziwezi fananishwa na za Mungu.
Umelaaniwa wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom