Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,402
- 5,984
Utoto bhana, kwa hiyo akili zako zimeishia ukomo wa kuniita sina akili bila ya hekima za kujadiliana na mimi pasipo matusi?Jidanganye hvo hvo....Mungu aliamua kumtuma mwanae pekee kutoka mbingun kuja dunian kwenye taka taka zotee shetan akamuu msalaban kwa kushawish wanadamu ikabid afufuke awaachie kaz hyo ya kupambana na shetan wanadamu had leo mapambano ni makal..halaf unasema nguv ya shetan ni 0.0001...walokole buana..sjui nan anawatoaga akil nyie
Shetan kauharibu ulimwengu huu for milions of years halaf unasema ana nguvu almost negligible???una akil kwel mlokole...
Heb use ua mind and logic bas...na hapa utasema ooh mambo ya mungu huwez tafsir kwa akil ya mwanadamu..sawa mlokole..lakin huyo mungu ndie kakupa akil na kakuumba kwa mfano wake...hebu eliminiken..ila sio kosa lenu...nyie mmekua mtaj wa corporate and corrupt word...bila watu avarage thinkng dunia hii inakua si nzur kwa mamlaka.so watatumia njia yoyote ku penetrate hyo loophole..sorry brother...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila Mtu ashushe matusi yake hapa patakuwa salama kweli?