Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo

Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo

ASA ka ni hivyo we unazani mwenye makosa nani?siye au anaemuacha shetani aishi?
 
Njia ya kwenda mbinguni ni dogo Sana!! Wapitao Njia hiyo ni wachache sana nao ni wale waliozikana Nafsi zao
 
Duuuh, hauwez samehewa mkuu kwa hayo mema maana unakuwa umehisafisha!???
Kiimani ya Mungu mmoja kuna msamaha ila kwa hizi imani za kidunia ni KARMA lazima ulipe kwakuwa ubaya hulipwa kwa ubaya na wema hulipwa kwa wema..
 
tapatalk_1495005643573.jpeg
nguvu ya shetani wakati unapanga uovu
 
Kwa uelewa wako kuhusu huyu shetani na mungu. Unaweza kujua/kufahamu, kwanini mungu alimfukuza tu na hakumuangamiza kabisa?! Na ni kwanini mungu alijua sisi binadamu tutaishi duniani naye akamfukuzia shetani humu duniani?! Kisayansi tunaambiwa kuna sayari nyiingi na galaxies nyiingi, kwanini asingempeleka shetani huko jupiter au neptune au hata nje ya milky way kabisa?!
 
Kwa uelewa wako kuhusu huyu shetani na mungu. Unaweza kujua/kufahamu, kwanini mungu alimfukuza tu na hakumuangamiza kabisa?! Na ni kwanini mungu alijua sisi binadamu tutaishi duniani naye akamfukuzia shetani humu duniani?! Kisayansi tunaambiwa kuna sayari nyiingi na galaxies nyiingi, kwanini asingempeleka shetani huko jupiter au neptune au hata nje ya milky way kabisa?!
Huko kwingine hakuna maisha ama kuna maisha mengine tofauti na haya
 
Huko kwingine hakuna maisha ama kuna maisha mengine tofauti na haya
Hivyo mungu alitaka shetani aishi?! Ikiwa ndivyo, sasa bifu lake na shetani la nini,si angemwacha tu na yeye aishi freely. Make mi mwanzo nilidhani mungu hampendi shetani na nilijiuliza kwanini hakumuua/kumuangamiza alipokosea badala yake aka mfukuzia humu duniani, akijua nasisi tutaishi humu. Hii imekaa kama siasa, chama tawala kinataka kipendwe na mpinzani achukiwe. Kwanini shetani apigwe vita, kama hakutakiwa?! si angeuwawa tangu mwanzo, kwanini aliachwaa aishi na tena nyumba moja nawateule wa mungu.
 
Hivyo mungu alitaka shetani aishi?! Ikiwa ndivyo, sasa bifu lake na shetani la nini,si angemwacha tu na yeye aishi freely. Make mi mwanzo nilidhani mungu hampendi shetani na nilijiuliza kwanini hakumuua/kumuangamiza alipokosea badala yake aka mfukuzia humu duniani, akijua nasisi tutaishi humu. Hii imekaa kama siasa, chama tawala kinataka kipendwe na mpinzani achukiwe. Kwanini shetani apigwe vita, kama hakutakiwa?! si angeuwawa tangu mwanzo, kwanini aliachwaa aishi na tena nyumba moja nawateule wa mungu.
Shetani sio visible identity... Shetani ni roho ni nishati (energy) kumbuka energy can neither created no destroyed...!!!
 
Shetani sio visible identity... Shetani ni roho ni nishati (energy) kumbuka energy can neither created no destroyed...!!!
Mhmm, shetani ni roho. Nasi tuna roho. Hii nikusema hata malaika ni roho. Mbona kuna watu hudai na kuthibisha kutokewa na malaika. Kama roho ni invisible wao uwaona vipi?!
Je nasi hatutakuwa destroyed hata wakati wa kiama?! So uoga wa nini?!
 
Mhmm, shetani ni roho. Nasi tuna roho. Hii nikusema hata malaika ni roho. Mbona kuna watu hudai na kuthibisha kutokewa na malaika. Kama roho ni invisible wao uwaona vipi?!
Je nasi hatutakuwa destroyed hata wakati wa kiama?! So uoga wa nini?!
Malaika pia ni total soul ndio maana huwezi kumvika jinsia na huwezi kumuona kama tunavyoonana the same applies to devil... Sisi ni roho katika mwili uharibukao yaani tuko visible lakini roho zetu hazionekani na tukifa tunakufa mwili sio roho ndio maana kuna dhana ya kufufuliwa katika wafu
 
Kama ni imani ya kikristo basi ijulikane kwamba yeye aliishi na wenye dhambi akajichanganya nao ..na wala hakusema mimi ni mtakatifu msiniguse, kupitia maisha hayo aliwajulisha kipi sahihi na kipi sio sahii,,tofauti na mafarisayo waliojiona wanajua kila kitu kuhusu Mungu na kujitenga kumbe wao pia wanamadhaifu mengi, mfano mmoja walipompeleka yule mama kumshitaki kuwa ni mzinzi , walifikiri Yesu atamtetea yule mama wasimuue, ili wapate sababu ya kumuua Yesu kwa kutetea uzinzi, tofauti na wazo lao yeye akawaambia kama kati yenu hakuna aliyekosa au aliyenadhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe,,hakuonekana mtu, walikimbia, kwasababu wao wenyewe walinia mabaya ndani yao na hata sheria za wayahudi zilitaka ukimshitaki mzinzi uwe na mashaidi wawili au watatu na vilevile huyo aliyefanya nae uzinzi wala hawakumleta na hii kuonyesha kwamba walimuonea na kumpendelea yule mwanaume kwa swali kwanini wamuachie wamshitaki yule dada peke yake?wakaaibika...Nimetoa mfano huu kusema kwamba Mshana ameongea hali ilivyo hivyo, ukiattempt kujiweka mtakatifu kwamba alichoongea si sahihi utaangusha hata walio na imani haba wataanza kujiona bado wao wabaya mbele za Mungu..ni kushukuru kwamba tumejua ukweli ukoje na kwa kujua basi tunasaidiana kuonyeshana njia kwamba tunashinda vipi..Mungu atutie nguvu....kuokoa watu kunahitaji hekima sana katika ulimwengu huu ulioharibika !
 
Malaika pia ni total soul ndio maana huwezi kumvika jinsia na huwezi kumuona kama tunavyoonana the same applies to devil... Sisi ni roho katika mwili uharibukao yaani tuko visible lakini roho zetu hazionekani na tukifa tunakufa mwili sio roho ndio maana kuna dhana ya kufufuliwa katika wafu
Lakini mbona hii, inapingana na andiko lako la shetani kufanya mapenzi na malauka?!
Roho hazionekani jinsi gani shetani na malaika hukutana na kufanya mapenzi?! Au mwanadamu na shetani kufanya mapenzi?! Au shetani na malaika ni dhana za kufikirika tu.
 
Lakini mbona hii, inapingana na andiko lako la shetani kufanya mapenzi na malauka?!
Roho hazionekani jinsi gani shetani na malaika hukutana na kufanya mapenzi?! Au mwanadamu na shetani kufanya mapenzi?! Au shetani na malaika ni dhana za kufikirika tu.
Umenisoma vizuri hapa.? Nimesema huwezi kumvika umbo... Na kule nimesema wanavaa umbo.... Yaani sisi hatuna uwezo huo lakini wao wana huo uwezo... Naamini umenielewa hapa
 
Back
Top Bottom