Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,315
- 5,984
Umeuliza swali zuri. Ni bahati mbaya hadi sasa hatujapata majibu sahihi ya kisheria tumebaki kukanyagana tu kwa kutoa majibu mepesi sisi wenyewe ma laymen.Kwahiyo nikimpa mimba 26 years msichana nayo ni kesi kama yuko form 5 au 6??
Sent using Jamii Forums mobile app