Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
hiyo sheria haitaji umri,bali inamzungumzia mtu yeyote ambae ni mwanafunzi hata kama ana miaka 30!Hiyo sheria ilitungwa kulinda wanafunzi
Nataka nijue sheria inasemaje hiyo haimaanishi kwamba kuna kiumbe nimemtia mimbaMtume huyo mwanafunzi akamuulize mwalimu wake kisha akuletee jibu,Ila msisitize asikutaje maana hawana akili hao!
mwenye chura utamwacha wewe?hiyo sheria haitaji umri,bali inamzungumzia mtu yeyote ambae ni mwanafunzi hata kama ana miaka 30!Hiyo sheria ilitungwa kulinda wanafunzi
Kama haitaji umri mbona haifanyi kazi kwa wanafunzi waliopo chuo?hiyo sheria haitaji umri,bali inamzungumzia mtu yeyote ambae ni mwanafunzi hata kama ana miaka 30!Hiyo sheria ilitungwa kulinda wanafunzi
Kama haitaji umri mbona haifanyi kazi kwa wanafunzi waliopo chuo?
Sent using Jamii Forums mobile app
2014 kidato cha tano Leo mwaka Wa tatu udsm... Chai ya wapi mkuuHii mada inanihusu sababu mwaka 2014 nilimjaza bint wa kidato Cha tano mimba ila familia yake ilinitafuta tuyaweke sawa nikawakwepa hadi alipo jifungua na baada wenzake kumaliza kidato cha sita nikawahuru kwenda kwao kumuona mtoto baada ya hapo nikawa nahudumia mtoto na yule bint alifanya mtihani wa kidato cha sita akafaulu na sasa yupo mwaka watatu UDSM, kwa hiyo ilo suala inategemea pia na familia yao
#bamia_ndefunene
Kama siyo wanafunzi kwa nini wanatambulika kwa majina ya uwanafunzi mfano; wanafunzi washeria,wanafunzi wa udaktari,N.K.Chuo wale siyo wanafunzi bali ni watu wazima wanaosomea professional!
Siyo chai kaka baada yakujifungua alikaa nyumbani mwaka mzima ndio akapiga paper la A Level
Mkuu unayumba tafuta education act imeongeza umri mpaka 21Sheria inasema kwa Mwanafunzi aliyechini ya miaka 18.
Akizidi miaka 18 huyo sheria haimuhusu tena. Miaka 18 ni umri ambao kisheria mtu anaweza fanya maamuzi yake na anakuwa amekamilika kiakili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaleta ubishi wa primary sasa mkuu, unaelekezwa vzr unakataa tena?Kama siyo wanafunzi kwa nini wanatambulika kwa majina ya uwanafunzi mfano; wanafunzi washeria,wanafunzi wa udaktari,N.K.
Neno mwanafunzi linasimama kwa mtu yeyote anaejifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria na Katiba ipi ipo juu ya mwenzie mkuu?Mkuu unayumba tafuta education act imeongeza umri mpaka 21
Subjected to be corrected
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo wanasoma wazazi kabisa kule ni kwa ajili ya watu wazima tuHivi anaesoma chuo sio mwanafunzi?
Kwanini sheria haimuhusu?
Au mwanafunzi ni yule aliye secondary na primary?
Sent using Jamii Forums mobile app
Husivyo=usivyoNi kweli
2016/2017 first year
2017/2018 second year
2018/2019 third year
Usibishe husivyo fahamu
Katiba inasema Above 18± ni mtu mzima anafaa kuoa au kuolewa, Je! kuna kosa kumpa mimba mtu mzima ata kama alikuwa anasoma?